Thanks mkuu, wala hujakosea kwani taaluma yangu ni public health and food safety (ni mbobezi). Suala la food safety ni kizungumkuti nchi hii.Nafkiri zaidi tufuate ushauri wa FOCAL ana mwandiko unaoashiria utaalamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks mkuu, wala hujakosea kwani taaluma yangu ni public health and food safety (ni mbobezi). Suala la food safety ni kizungumkuti nchi hii.Nafkiri zaidi tufuate ushauri wa FOCAL ana mwandiko unaoashiria utaalamu
Sure,Thanks mkuu, wala hujakosea kwani taaluma yangu ni public health and food safety (ni mbobezi). Suala la food safety ni kizungumkuti nchi hii.
upo kwa ndegesera hapo?Nimependa mada hii ngoja na Mimi niweke neno hapo mim ni mfanya kazi katika kiwanda kidogo Cha mafuta ya alizeti kipo kahama mjini sas sisi tuna kamua mafuta na kuchuja kisha tuna weke kwenye madumu makubwa na mdogo kwa kuuzwa sas nimjibu mtoa mada alizet ikiwa Ina kamuliwa kwenye mashine pale Kuna joto kilo pale ndomana mafuta machafu Yana Toka yamoto Kisha tunayachukiwa mafuta machafu tuna weka kwenye chujio pale na napo Kuna presha inayoivisha mafuta ambayo inauwa vijidudu vyote yakita apo miaka kumi hakuna alafu Wala kuganda angalizo chombo unachoweka mafuta kiwe kisafi
mkuu huu uandishi dahNimependa mada hii ngoja na Mimi niweke neno hapo mim ni mfanya kazi katika kiwanda kidogo Cha mafuta ya alizeti kipo kahama mjini sas sisi tuna kamua mafuta na kuchuja kisha tuna weke kwenye madumu makubwa na mdogo kwa kuuzwa sas nimjibu mtoa mada alizet ikiwa Ina kamuliwa kwenye mashine pale Kuna joto kilo pale ndomana mafuta machafu Yana Toka yamoto Kisha tunayachukiwa mafuta machafu tuna weka kwenye chujio pale na napo Kuna presha inayoivisha mafuta ambayo inauwa vijidudu vyote yakita apo miaka kumi hakuna alafu Wala kuganda angalizo chombo unachoweka mafuta kiwe kisafi
Asante kwa ushauri mkuu!Mkuu nitaomba baadaye nikupe jibu la uhakika, ila nakumbuka kwa kila lita mia tulikuwa tunaweka kilo moja ya chumvi na maji lita 5. Kumbuka mwisho wa mchakato maji yote yatakuwa yameisha kwani yanachemka kabla ya mafuta na kupotea kama mvuke, lengo ni kuondoa hewa ya oksijeni tu. Nina miaka 21 tangu nimeacha kufanya shughuli hii, nitakupatia formula halisi. Kama unayatumia ndani ya miezi sita hayana shida sana, zaidi ya hapo ni vyema kuyachakata vizuri.
Si kweliMafuta ya alizeti yanaweza kukaa hadi miaka miwili bila kuharibika na bila kuyafanyia tiba yoyote.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Yanaweza kukaa muda gani kwa uelewa wakoSi kweli
Kwenye 20Ltrs za mafuta ya alizeti, unaweka maji Lita 2 na chumvi 400gram.Mfano mafuta lita 20 unatakiwa uweka chumvu na maji kiasi gani?