Njia gani naweza kutumia kuhifadhi mafuta ya alizeti?

Thanks mkuu, wala hujakosea kwani taaluma yangu ni public health and food safety (ni mbobezi). Suala la food safety ni kizungumkuti nchi hii.
Sure,

Unajua hata kama siijui process yenyewe kuna vitu vinavyoashiria jibu na si-jibu unaviona wazi kabisa.

Nilipoona kuna mwamba ameweka mchakato wa kuhifadhi hadi miaka kumi ndio akanishtua! nikasema kumbe unaweza kuwa unachukua ushauri kwa watu wasiokuwa wataalamu wakakupoteza.

Hongera kwa kuiwakilisha vema taaluma yako👊
 
upo kwa ndegesera hapo?
 
mkuu huu uandishi dah
 
Asante kwa ushauri mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…