Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ha hahaaa,,et km bundi[emoji23][emoji23][emoji23]
Km bundi ndo inakuaje mkuu??
Ah ah ah ah mbavu zangu we kiboko, kalenda risk kama huna mzunguko mzuri, unawaza mimba kila dkk unahis unayo kumbe hakuna kituπππ...yaan nux tupu...hahhaa yaan ukipita mwezi salama unashika tenzi za rohoni na kuanza kuimba!kushukuru...!yaan hofi juu ya hofu
Ah ah ah ah mbavu zangu we kiboko, kalenda risk kama huna mzunguko mzuri, unawaza mimba kila dkk unahis unayo kumbe hakuna kitu
Ah ah ah ah inabid utoe mawazo sasa, hii kuwaza sijui nina mimba sijui sina inatesa na ukiangalia katoto bado kadogo, bora nje wanaume wanachoma sindano kama hawatak kubebesha mimba, sasa huku kwetu inabid tupambane hivyo hivyo wenyeweNakuambia mie nikiona mp huwa ni furaha kwangu mno mno..ah najichokea balaa
Ah ah ah ah inabid utoe mawazo sasa, hii kuwaza sijui nina mimba sijui sina inatesa na ukiangalia katoto bado kadogo, bora nje wanaume wanachoma sindano kama hawatak kubebesha mimba, sasa huku kwetu inabid tupambane hivyo hivyo wenyewe
AiseeKatika jambo lililonishinda na hili.jamani...yaan nimefeli vibayamno...kama ww sio mtumiaji wa kinywaji nenden na kalenda...ila siku za hatari mwili unawaka balaa...!wanangu wote niliwapata kwa njia hizo za kijinga jinha eti kuwithdraw[emoji57][emoji57][emoji57]!
mie njia za uzaz salama sizitak za hospitalin..naskia hamu inakuwa chini sana ya kusex[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]..hvyo naishi kama bundi tu
Bila Mungu huchomok, panatisha sana sikuhiz wamama wanakufa saanaUnajikuta hata hamu ya kula inakata..mir labor nikikumbuka jaman miaka inakatika...dah..kule.jamani kifo nje nje
Njia za hospitali kama sindano vidonge na njiti zina shida ya kushusha nyegezi tofauti na kitanzi kwangu mimi ni km zimeongezeka hasa hizo hot daysKatika jambo lililonishinda na hili.jamani...yaan nimefeli vibayamno...kama ww sio mtumiaji wa kinywaji nenden na kalenda...ila siku za hatari mwili unawaka balaa...!wanangu wote niliwapata kwa njia hizo za kijinga jinha eti kuwithdraw[emoji57][emoji57][emoji57]!
mie njia za uzaz salama sizitak za hospitalin..naskia hamu inakuwa chini sana ya kusex[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]..hvyo naishi kama bundi tu
[emoji23][emoji23][emoji23]...yaan nux tupu...hahhaa yaan ukipita mwezi salama unashika tenzi za rohoni na kuanza kuimba!kushukuru...!yaan hofi juu ya hofu
Wanaume wa kibongo uwachomeshe sindano,,, thubutuu watasema zinawamalizia nguvu za kiume wakati ndivyo walivyo tu hawana nguvu hata bila kuchoma sindanoAh ah ah ah inabid utoe mawazo sasa, hii kuwaza sijui nina mimba sijui sina inatesa na ukiangalia katoto bado kadogo, bora nje wanaume wanachoma sindano kama hawatak kubebesha mimba, sasa huku kwetu inabid tupambane hivyo hivyo wenyewe
Muda si mrefu utainasa ndipo akili itakukaa sawa hahahaha fanya kujilinda hamna kitu kibaya kubeba mimba usiyoihitaji
Njia za hospitali kama sindano vidonge na njiti zina shida ya kushusha nyegezi tofauti na kitanzi kwangu mimi ni km zimeongezeka hasa hizo hot days
We endelea na tabia yakoHahahahaa tema mate chini kapeace!dah
Ndo ujiandae kulea mimba usiyotarajiaNaskia.sindano.unakuwa baridi huna hamu kbs..hicho kufurushi mie sikitak jaman
Hii walevi haliwafaiQuick withdraw of penis during ejaculation
Just simpleSalute,
Imepita miezi tano na siku 16 tokea mke wangu ajifungue.
Alijifungua 07/01/2019, siku ya jumatatu, tunajua mwanamke akishajifungua basi kuona siku zake za hedhi ni adimu sana.
Leo zimeanza siku zake, sasa mimi sio mpenzi wa kutumia mara sijui vitanzi, sindano, vidonge nk.
Yeye analazimisha atumie njia tajwa hapo juu, mimi sitaki kwa sababu naskiaga madhara yake.
Basi yupo hapa kanuna, anadai atajikingaje ili aispate mimba kwa sababu mwanae bado mdogo.
Nalileta kwenu hili waungwana ili mnipe muongozo, najua wengi wenu mlipitia hili ama mnapitia hili.
Nye mlitumia njia gani kukinga mimba?
Hii walevi haliwafai