Njia gani ni salama na haina madhara kwa mwanamke ya kuzuia mimba?

Njia gani ni salama na haina madhara kwa mwanamke ya kuzuia mimba?

Write your reply...
mkule tigo mkuu
otherwise fanyeni kilimo cha watoto tu
 
😂😂😂...yaan nux tupu...hahhaa yaan ukipita mwezi salama unashika tenzi za rohoni na kuanza kuimba!kushukuru...!yaan hofi juu ya hofu
Ah ah ah ah mbavu zangu we kiboko, kalenda risk kama huna mzunguko mzuri, unawaza mimba kila dkk unahis unayo kumbe hakuna kitu
 
Nakuambia mie nikiona mp huwa ni furaha kwangu mno mno..ah najichokea balaa
Ah ah ah ah inabid utoe mawazo sasa, hii kuwaza sijui nina mimba sijui sina inatesa na ukiangalia katoto bado kadogo, bora nje wanaume wanachoma sindano kama hawatak kubebesha mimba, sasa huku kwetu inabid tupambane hivyo hivyo wenyewe
 
Mimi na wife ni mwendo wa calendar tuu.
Hiz nyingine siziamini kabisa
 
Ah ah ah ah inabid utoe mawazo sasa, hii kuwaza sijui nina mimba sijui sina inatesa na ukiangalia katoto bado kadogo, bora nje wanaume wanachoma sindano kama hawatak kubebesha mimba, sasa huku kwetu inabid tupambane hivyo hivyo wenyewe


Unajikuta hata hamu ya kula inakata..mir labor nikikumbuka jaman miaka inakatika...dah..kule.jamani kifo nje nje
 
Katika jambo lililonishinda na hili.jamani...yaan nimefeli vibayamno...kama ww sio mtumiaji wa kinywaji nenden na kalenda...ila siku za hatari mwili unawaka balaa...!wanangu wote niliwapata kwa njia hizo za kijinga jinha eti kuwithdraw[emoji57][emoji57][emoji57]!

mie njia za uzaz salama sizitak za hospitalin..naskia hamu inakuwa chini sana ya kusex[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]..hvyo naishi kama bundi tu
Aisee
 
Katika jambo lililonishinda na hili.jamani...yaan nimefeli vibayamno...kama ww sio mtumiaji wa kinywaji nenden na kalenda...ila siku za hatari mwili unawaka balaa...!wanangu wote niliwapata kwa njia hizo za kijinga jinha eti kuwithdraw[emoji57][emoji57][emoji57]!

mie njia za uzaz salama sizitak za hospitalin..naskia hamu inakuwa chini sana ya kusex[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]..hvyo naishi kama bundi tu
Njia za hospitali kama sindano vidonge na njiti zina shida ya kushusha nyegezi tofauti na kitanzi kwangu mimi ni km zimeongezeka hasa hizo hot days
 
Muda si mrefu utainasa ndipo akili itakukaa sawa hahahaha fanya kujilinda hamna kitu kibaya kubeba mimba usiyoihitaji
[emoji23][emoji23][emoji23]...yaan nux tupu...hahhaa yaan ukipita mwezi salama unashika tenzi za rohoni na kuanza kuimba!kushukuru...!yaan hofi juu ya hofu
 
Ah ah ah ah inabid utoe mawazo sasa, hii kuwaza sijui nina mimba sijui sina inatesa na ukiangalia katoto bado kadogo, bora nje wanaume wanachoma sindano kama hawatak kubebesha mimba, sasa huku kwetu inabid tupambane hivyo hivyo wenyewe
Wanaume wa kibongo uwachomeshe sindano,,, thubutuu watasema zinawamalizia nguvu za kiume wakati ndivyo walivyo tu hawana nguvu hata bila kuchoma sindano
 
Njia za hospitali kama sindano vidonge na njiti zina shida ya kushusha nyegezi tofauti na kitanzi kwangu mimi ni km zimeongezeka hasa hizo hot days


Naskia.sindano.unakuwa baridi huna hamu kbs..hicho kufurushi mie sikitak jaman
 
Hahahahaa tema mate chini kapeace!dah
We endelea na tabia yako

najua nachokizungumzia japokuwa mtoto husika ndiye rafiki pekee naemthamini kuliko mtu yeyote dunia hii lkn kwa dhati mimba yake niliilea pasipo mapenzi
 
Salute,

Imepita miezi tano na siku 16 tokea mke wangu ajifungue.

Alijifungua 07/01/2019, siku ya jumatatu, tunajua mwanamke akishajifungua basi kuona siku zake za hedhi ni adimu sana.


Leo zimeanza siku zake, sasa mimi sio mpenzi wa kutumia mara sijui vitanzi, sindano, vidonge nk.

Yeye analazimisha atumie njia tajwa hapo juu, mimi sitaki kwa sababu naskiaga madhara yake.

Basi yupo hapa kanuna, anadai atajikingaje ili aispate mimba kwa sababu mwanae bado mdogo.

Nalileta kwenu hili waungwana ili mnipe muongozo, najua wengi wenu mlipitia hili ama mnapitia hili.

Nye mlitumia njia gani kukinga mimba?
Just simple
Mwaga nje kama pornstar.
 
Cheza na kalenda, njia salama kiafya kupita zote.
 
Back
Top Bottom