Njia gani niitumie nisiibiwe idea yangu ya biashara..?

Njia gani niitumie nisiibiwe idea yangu ya biashara..?

dadeez

Senior Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
116
Reaction score
144
Nina IDEA YA BIASHARA upande wa advertisement, naogopa kui expose kwa watu kiholela, pia naogopa kuisajili kuhofia kuibiwa na hao wanaosajili (Kuichakachuliwa), sina uwezo mkubwa wa kuwazuia na naamini idea yangu "HAKUNA TANZANIA NZIMA" Sijui nifanye nini? nisaidieni naomba!
 
Inadepend Na Uwezo Wa Idea Yenyewe, Kwamba Inatoa Au Lap, Vilevile Mpokeaji Kaielewa vp Idea Yako!
Mkuu Kwani idea Yako Imedepend Pande Zipi?
 
first try to design hypothesis that will test/detect if your idea is feasible ... many ideas seems to be good theoretically

then you can contractually partner with a big fish
 
Nina IDEA YA BIASHARA upande wa advertisement, naogopa kui expose kwa watu kiholela, pia naogopa kuisajili kuhofia kuibiwa na hao wanaosajili (Kuichakachuliwa), sina uwezo mkubwa wa kuwazuia na naamini idea yangu "HAKUNA TANZANIA NZIMA" Sijui nifanye nini? nisaidieni naomba!

Sasa kama hutaki kuiexpose utapataje msaada?
 
Mkuu jaribu kutemblea website kama Bidnetwork uone, Aidea ziko wazi kabisa, Aidea siku zote sio siri ila siri waga iko kwenye techinica tu, mtu asikudanganye kwamba aidea ni siri hakuna kitu cha aina hiyo, na hicho unacho sema siri utakuta umekichukua au kukutana nacho kwingine,

So wazo la biashara sio siri, ila siri ni jinsi uatakvyo implement hiyo aidea, basi hata makampuni yasingekuwa yanauza product kwa kuhofia wengine kukopy,

Na mwisho kabisa Aidea za biashara zinafanana sana Dunia nzima ila utofauti ni jinsi ya kuzu implement, cheki mfano wa simu,
 
Inadepend Na Uwezo Wa Idea Yenyewe, Kwamba Inatoa Au Lap, Vilevile Mpokeaji Kaielewa vp Idea Yako!
Mkuu Kwani idea Yako Imedepend Pande Zipi?
Imebase upande wa advertisement mkuu, asante lakini kwa kunijibu!
 
Sasa kama hutaki kuiexpose utapataje msaada?

Asante mzee, nia yangu kuepuka kuibiwa, najiamini na na imani na hiyo idea, nilichpkitaka ni kushauriwa nitumie njia gani mbadala kama ipo ili nisiibiwe.
 
first try to design hypothesis that will test/detect if your idea is feasible ... many ideas seems to be good theoretically

then you can contractually partner with a big fish
Asante mdau, I will try also to follow your advice.
 
register it! business itaiagwa tu once you implement it, but you will protect it by being dynamic, your formula wont be copied easily!
 
Nina IDEA YA BIASHARA upande wa advertisement, naogopa kui expose kwa watu kiholela, pia naogopa kuisajili kuhofia kuibiwa na hao wanaosajili (Kuichakachuliwa), sina uwezo mkubwa wa kuwazuia na naamini idea yangu "HAKUNA TANZANIA NZIMA" Sijui nifanye nini? nisaidieni naomba!

tatizo hiyo idea yako ni siri yako na sisi humu JF hatuna hata hints juu ya hiyo idea yako so ni vigumu kukupa ushauri. maybe uwashirikishe wakuu wa dini yako hiyo idea yako labda hao watakuwa waaminifu!ukiogopa kupata hasara kamwe hutofanya biashara!
 
tatizo hiyo idea yako ni siri yako na sisi humu JF hatuna hata hints juu ya hiyo idea yako so ni vigumu kukupa ushauri. maybe uwashirikishe wakuu wa dini yako hiyo idea yako labda hao watakuwa waaminifu!ukiogopa kupata hasara kamwe hutofanya biashara!

Jamaa nisha mwambia Aidea kama aidea haiwezi kuwa siri, Nchi kama Marekanina Urusi wanapo kuwa na Mpango wa Kuunda Ndege mpya ya Kijeshi hutangaza hazarani kabisa na hata kuweka aina ya Ndege, na ubora wake Ila kinacho fichwa ni techinic chache sana,

Leo mimi naweza kuwa na wazo bora la Biashara ya Utalii na nikaita hata mkutano na kuwaeleza watu, wazo langu, na mambo mengine, Ila kitakacho tofautisha ni jinsi ya kuimplement, na njia zipi utatumia,

Asikudanganye mtu mawazo yanafafana kila mahali, ila kwa sasa utafauti upo kwenye implementation yake itakuwa vipi. CHUKULIA MFANO WA NDEGE ZA BOENG NA AIR BUS, zinafanana ila kuna feature chache sana zinatofautiona tena unaweza kuta ni feature kama mbili tu

 
unataka chako kiwe chako mwenyewe tu
mbona utakufa nacho, sambaza watu tucopy na kupaste
tukashindane huko huko sokoni.
 
Jiachie mkuu idea ni kitu cha kawaida tu na unapo fanya presentation lazima uwape watu idea jambo ambalo utaweza lifanya kuwa confidential is your business plan. Funguka mkuu otherwise utakufa na idea yako since no body will criticize you or improve your idea.
 
Jamaa nisha mwambia Aidea kama aidea haiwezi kuwa siri, Nchi kama Marekanina Urusi wanapo kuwa na Mpango wa Kuunda Ndege mpya ya Kijeshi hutangaza hazarani kabisa na hata kuweka aina ya Ndege, na ubora wake Ila kinacho fichwa ni techinic chache sana,

Leo mimi naweza kuwa na wazo bora la Biashara ya Utalii na nikaita hata mkutano na kuwaeleza watu, wazo langu, na mambo mengine, Ila kitakacho tofautisha ni jinsi ya kuimplement, na njia zipi utatumia,

Asikudanganye mtu mawazo yanafafana kila mahali, ila kwa sasa utafauti upo kwenye implementation yake itakuwa vipi. CHUKULIA MFANO WA NDEGE ZA BOENG NA AIR BUS, zinafanana ila kuna feature chache sana zinatofautiona tena unaweza kuta ni feature kama mbili tu

Usipotoshe watu mkuu. Hao wamarekani huweka wazi vitu vyao wakati tayari vimeshaingia au vimebakiza muda mfupi kuingizwa sokoni.

Na pili mfano wa ndege ulioletwa hapa ni tofauti na mazingira tunayoongelea. Ndege zinatengenezwa kwa kutumia principal za physics ambazo ziko open tofauti na wazo la biashara.

Basically wazo lake lime base kwenye hiyo inayoita implementation. Kwa kuwa biashara ni zile zile zilizopo ila business model ndo zinatofautiana.

Nafikiri kama taifa ili tusonge mbele tunahitaji kuanzisha soko la mawazo ya biashara. Au bank za mawazo ya biashara which can be a completely new business or a new way of doing a certain business. Hii ni kwa kuwa watu wengi wanamawazo lakini hawana mitaji na kuna watu wanamitaji hawana mawazo. Tukitengeneza kitu kama hicho na kulinda mawazo ya watu..tutapiga hatua sana.
 
Usipotoshe watu mkuu. Hao wamarekani huweka wazi vitu vyao wakati tayari vimeshaingia au vimebakiza muda mfupi kuingizwa sokoni.

Na pili mfano wa ndege ulioletwa hapa ni tofauti na mazingira tunayoongelea. Ndege zinatengenezwa kwa kutumia principal za physics ambazo ziko open tofauti na wazo la biashara.

Basically wazo lake lime base kwenye hiyo inayoita implementation. Kwa kuwa biashara ni zile zile zilizopo ila business model ndo zinatofautiana.

Nafikiri kama taifa ili tusonge mbele tunahitaji kuanzisha soko la mawazo ya biashara. Au bank za mawazo ya biashara which can be a completely new business or a new way of doing a certain business. Hii ni kwa kuwa watu wengi wanamawazo lakini hawana mitaji na kuna watu wanamitaji hawana mawazo. Tukitengeneza kitu kama hicho na kulinda mawazo ya watu..tutapiga hatua sana.

Nimependa sana ulivyomfafanulia na kumuweka sawa huyo jamaa hapo juu! Kwanza amefananisha vitu viwili tofauti kabisa, utengenezaji wa ndege na wazo la biashara!!! Hata hivyo nashkuru nimeenda kusajili na nipo katika hatua za mwisho...ntarudi tena kuweka wazi pindi nitakapokamilisha na mtaniambia wenyewe kama hilo wazo mmewahi kuliona popote hapa TZ?? japo ni ADVERTISEMENT ya kawaida tu ila ipo kitofauti sana.
 
Usipotoshe watu mkuu. Hao wamarekani huweka wazi vitu vyao wakati tayari vimeshaingia au vimebakiza muda mfupi kuingizwa sokoni.

Na pili mfano wa ndege ulioletwa hapa ni tofauti na mazingira tunayoongelea. Ndege zinatengenezwa kwa kutumia principal za physics ambazo ziko open tofauti na wazo la biashara.

Basically wazo lake lime base kwenye hiyo inayoita implementation. Kwa kuwa biashara ni zile zile zilizopo ila business model ndo zinatofautiana.

Nafikiri kama taifa ili tusonge mbele tunahitaji kuanzisha soko la mawazo ya biashara. Au bank za mawazo ya biashara which can be a completely new business or a new way of doing a certain business. Hii ni kwa kuwa watu wengi wanamawazo lakini hawana mitaji na kuna watu wanamitaji hawana mawazo. Tukitengeneza kitu kama hicho na kulinda mawazo ya watu..tutapiga hatua sana.

Wewe ndo unapotosha watu, Jilulize ni kwa nini China haijawahi shitakiwa mhali popote pale kwa kucopy? make sheria za kopy ni kari sana kiasi kwamba unaweza fulisiwa sasa nijibu kwa nini China huwa hawafanywi chochote?

Mkuu Business aidea nyingi sana zinafanana, Product nyingi sana zinafanana na hata service zinafanana kila kitu, Ila techinicaly ndo huwa kuna utofauti,

Wewe leo unaweza anzisha kipindi kwenye televison aina fulani, kesho kutwa wengione wakaja na kipindi hicho hicho na wakabadili jinsi ya kukiendesha, huwezi wafanya chochote, Mleata maada unaweza kuta kakopy huko mbele halafu analeta huku kutuzuga ni aidea mpya,

Kwa kutumia product cycle utajua kwamba Aidea ni zile zile Dunia nzima ila kinacho fanyika, Service ikisha declaine Mhali fulani hupelekwa kweingine na kufanyiwa editing tu kidogo,

TEMBELEA WEBSITE ZA Business planing competition utakuta Aidea ziko opoen kwa kila mtu tena aidea zilizo enda shule, basi wale jamaa wangekuwa wanazificha zile aidea zao, Temblea Bidnetwork uone, na sio kupost pumba
 
Nimependa sana ulivyomfafanulia na kumuweka sawa huyo jamaa hapo juu! Kwanza amefananisha vitu viwili tofauti kabisa, utengenezaji wa ndege na wazo la biashara!!! Hata hivyo nashkuru nimeenda kusajili na nipo katika hatua za mwisho...ntarudi tena kuweka wazi pindi nitakapokamilisha na mtaniambia wenyewe kama hilo wazo mmewahi kuliona popote hapa TZ?? japo ni ADVERTISEMENT ya kawaida tu ila ipo kitofauti sana.

Kama haipo Tanzania basi iko Nchi nyingine na ulicha fanya ni kukopy tu, Ok kasajili halafu usishangae kukuta wengine wana fanya hiyo hiyo,

Narudia kusema Aidea huwa ziko Open Tembeleeni website mbalimbali zinazoendesha mashindano ya kuandaa michanganua boro ya biashara kwa wanavyuo na watu wengine, Aidea ziko open kila mtu Dunia nzima anaweza soma na akivutiwa naweza fanya kazi na mhusika,

Basi wale jamaa wange kuwa wanazificha, tena ni Aidea zilizo enda shule, sasa wewe unakuja na ngonjera hapa

Sasa wewe endelea kupeana moyo na huyo mwenzako hapo, Ila Aidea sio siri hata kidogo

 
Hauwezi kusajili idea ya biashara wala kuwazuia wenzako wasifanye. Unaweza kusajili trademarks zako kama nembo etc pia unaweza ku patent unique things ulizovumbua. Pia idea ni kitu kidogo sana, tatizo ni utekelezaji, best of luck.
 
Back
Top Bottom