njia gani nzuri ya birth control

<br />
<br />
asikudanganye mtu,madawa au njia zote zakupanga uzazi za hospital zina madhara makubwasana,njia sahihi ni kukojolea nje anapokaribia kumaliza mwanaume akochomoe akojoe nje niyauhakika na nisalama.
 
huyu bwana hataki kutumia condom wala kukojoa nje ye ndani tu kila mwaka mtoto na calender mhh haiaminiki mara unashika

kwanza kaa nae uongee nae na umweleweshe...
kwa condom kutumia si sahihi hasa kwa mmeo au mtu mnaekaa nae kila cku.. kukojolea nje nayo inahitaji sana ujanja na umakini sana .. kalenda inahitaji ushilikiano mkubwa kwa mwenzako.
nendeni mkapate ushauri nasaha na mnaweza kupanga lakini za asili ni nzuri zaidi
 
kwani hamna tv nyie jamani? matangazo ya mama ushauri kibaao! nenda nae hospitalini. hospitali zote za serikali wanatoa huduma hii bure. hospitali za private unaonana na dr wa wanawake. marie stopes nao wana huduma maalum kwa ajili ya hii. kwa case yako nadhani loop ni sahihi zaidi. ila mnahitaji ushauri wa wataalamu. manake hata kama mnapenda kujaza dunia,walau upumzike miaka 2 kabla ya kuchukua ujauzito tena.

huyu bwana hataki kutumia condom wala kukojoa nje ye ndani tu kila mwaka mtoto na calender mhh haiaminiki mara unashika
 
Loop/kitanzi ni njia nzuri isiyo na madhara,kubaliana na mwenzio muwe waaminifu kwani hakiitaji uchafu
 
Loop/kitanzi ni njia nzuri isiyo na madhara,kubaliana na mwenzio muwe waaminifu kwani hakiitaji uchafu


Mi nafikiri njia rahisi ni kutumia kalenda, though calendar nayo ina problem kama mke tarehe zake zinayumbayumba-not constant! ikiwa ndivyo basi hapo haitasaidia sana, na hivyo napendekeza kutumia condom. kumwaga nje ni sawa, lakini wanume wote hawawezi hii, mara nyingi atamwaga ndani, na inamnyima 'haki' mke ambaye pengine naye alikuwa bado anasafiri.
hizi nyingine za vijiti, sindano na vidonge zitakuumizeni tu wakati wa kutumia na pindi mtakapoziacha au kutoa.wengi hunenepeana, wengine hukonda sana, kizazi cha mke huaribika-mauvimbe hayakomi, na damu kuvuja sana( too much bleeding-haikomi kwa muda mreeefu).
Madaktari wengi hawataki kukubaliana na ukweli huu. na pengine hata wakikushauri watakupendekezea hizi zenye madhara
 
huyu bwana mkorofi sana hata ukimshauri ye yuko palepale kwanza anakubali halafu anakubambika mimba yaani hataki kabisa kusikia
 
Kitanzi ni njia salama hasa kwavile haina hormones (vichocheo), hivo hutakua na haja ya kuhofu kuhusu kunenepa... vinakaa mpaka 12 years lakini ndani ya hiyo miaka unaweza kutoa wakati wowote na ukashika ujauzito bila haja ya kusubiria kama ilivo kwa njia zenye vichocheo ambapo kuna wengine wanakaa mwaka kabla ya mwili wao kurudia hali ya kuweza kushika ujauzito... vipandikizi ndi vile vinavyowekwa mkononi na ni mpaka miaka 3 ... hivi vina vichocheo hivo kutegemeana na mtu, wengine hunenepa lakini wengine walaa... ila pia utapoona una side effects muda wowote waweza kutoa na kubadili nia.... nways zipo nyingi lakini ukienda kwenye kituo cha afya utapata ushauri na counselling kutegemea na malengo yako ya uzazi na utachagua njia ikufaayao e.g unataka watoto wangapi, wapishane muda gani etc etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…