2009-04-01257
Member
- Jan 3, 2013
- 13
- 3
Ndugu katika jamii forum, mimi ni kijana wa kitanzania, nategemea kuhitimu mafunzo ya uhandisi katika fani ya uchenjuaji madini( mineral processing Engineering) mwezi wa sita mwaka huu. kutokana na namna wachimbaji wadogo wadogo wa madini hasa dhahabu kutokuwa na uwezo wa kukamata madini mengi kutoka kwenye udongo wenye madini hayo, nimeona ni vizuri kuanzisha mradi wa kusaga, kuchenjua na kusafisha dhahabu utakaotoa huduma kwa hawa wazalishaji wa dhahabu. na kuzalisha dhahabu yenye ubora unaotakiwa.
Changamoto ninayo dhani itakuwakikwazo kwangu ni upatikanaji wa pesa ikiwa ni mtaji wa kuanzisha mradi huo. kwahiyo wanajamii naomba msaada wenu wa mawazo nini nifanye ilikupata angalau shilingi za kitanzania milioni 20.
Changamoto ninayo dhani itakuwakikwazo kwangu ni upatikanaji wa pesa ikiwa ni mtaji wa kuanzisha mradi huo. kwahiyo wanajamii naomba msaada wenu wa mawazo nini nifanye ilikupata angalau shilingi za kitanzania milioni 20.