[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Hivi aliwaza nini kupiga hiyo picha?
Inategemea na quality ya video unayostream au kudownload zote ziko sawa kama ni 720p 500 Mb streaming/download ni sawaNahisi watu hawajakuelewa
Mm nimekuelewa hivi..kuplay au kudownload the same movee ni lipi linakula sana Mb?
Mfano movee ya rambo kuwatch online na kuidowload ipi nitasave mb?
Kanyamalise suali[emoji23] [emoji23] [emoji23] jf raha jamaniUmeelewa halafu hujamjibu
[emoji57] [emoji57]
Acha umaskini weweKu Play video online YouTube au ku download
Tena msala KBS mi nanilivyo bahili niliichia mbaliInstagram ni msala......
Ohoooo!!!Ku gonga "like" humu ndio zinafyonzeka kuliko hivyo vyote ulivyotaja hawali.
Jamaa hataki uzee kabisa, jaani hapo anakangua kil unywele unaoota anahakikisha anakuwa kipara kabisa, mvi zitamwaribia
KudownloadNahisi watu hawajakuelewa
Mm nimekuelewa hivi..kuplay au kudownload the same movee ni lipi linakula sana Mb?
Mfano movee ya rambo kuwatch online na kuidowload ipi nitasave mb?