Nenda kaulize utaratibu utawala mkuu. ingia ofis ya director of undergraduate anaitwa profesa msoffe hapo atakusaidia kila kitu. n mtu mzur sana kuliko watawala wote udom
Ahsante kaka kwan na mim n muhanga vp kwahyo nisifanye registration kabsa japo nilishalipia pesa zao bank eeeeee na kama msofe hayupo itakuwa pouwaaaaaaa kwa nan mwinginee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.