Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Wewe upo kama mimi, sijawahi kushuhudia kucha zangu zikiwe ndefu😃😃natumia meno
tena sijui mda gani nazikata
nakuta tayari nishazikata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo kama mimi, sijawahi kushuhudia kucha zangu zikiwe ndefu😃😃natumia meno
tena sijui mda gani nazikata
nakuta tayari nishazikata
Kuna ubaya gani kama ni ya kwangu😊unakula mavi😂🥹
kapicha basiWewe upo kama mimi, sijawahi kushuhudia kucha zangu zikiwe ndefu😃😃
Haka katabia sijui nilianza lini huwa kanaboa sana ila ndo hivyo mazoea yana tabu🤨Wewe upo kama mimi, sijawahi kushuhudia kucha zangu zikiwe ndefu😃😃
mbona sijawahi kimbiza mwenge ?hongera kwa kula mavi bila kujua
Mimi sioni kama ni shida,, nishazoea yani ma siwezi kuacha😃😃Haka katabia sijui nilianza lini huwa kanaboa sana ila ndo hivyo mazoea yana tabu🤨
umesahau kidole cha mwisho mbona, naona kakucha bado karefu kimtindoHizo hapo🙈🙈
Hongera ila uache kuuma kucha..Aibu ninazo 😀😀
Niliwahi kujaribu nikashindwa mkuuHongera ila uache kuuma kucha..
Pole ipende tabia yako hakuna namna...😂Niliwahi kujaribu nikashindwa mkuu
Muone 😃😃umesahau kidole cha mwisho mbona, naona kakucha bado karefu kimtindo
Jamani😂😂😂😂Kumbe kucha hua zinakatwa?
Asante kwa hii elimu.
Sema wanakata na kuvitafuna nishawaona wengi baada ya kukata hawatemi!Ivi kwann wanao kataga kucha na meno,Mara nyingi vikucha vyao havinaga mvito yaan vifupiiiii.
😂😂😂Kuna ubaya gani kama ni ya kwangu😊
hata mimi sijawahi kimbiza mwengembona sijawahi kimbiza mwenge ?
Uzuri wa nail cutter ni vigumu sana kujikata mpaka kutoa damuNail Cutter ndio njia salama kwa afya yako na usalama wako
Mungu amekupa akili ya nini kama jambo dogo hivi unashindwa kung'amua?Mungu amekupa meno ya nini Sasa?