Njia ipi ya Mpango wa uzazi ni bora kwa wanandoa?

Ya majivu nilishawahi kusikia.

Hiyo ya kitambaa aisee wanawake tuna shida....

Wakati nafanya fanya uasherati flagyl nimetumia [emoji55] haikuwahi kunikataa
Jamaa mmoja hapa ghetto anajua njia za uzazi wa mpango kuliko mademu zake wote. Anamiliki P2, flagyl na Coca baridi hazikosi kwake. Anavusha sana siku hizi ila hajanasisha mimba. Kaanza kitambo alishawahi bebesha mimba tatu zote wakazitoa. Sasa hivi anakwepa mimba vibaya mno yani ana mbinu balaa sijui kazitoa wapi
 

Thank you for your selflessness. Elimu kubwazzz

Its clear. But io ya kitambaa details sijazipata sawa sawa... its more of a superstition... una add madawa kwenye icho kitambaa na manuizi au..?!

Io ya flagyl unafanyaje? Cause kuna demu mmoja nilikua najipimia tu asa alikua student pale Makongo high xul alikua ananipa sana ila mimi nilikua na hofu sana kwambazz cku akijaa nitakua dragged to a millitary cell na maticha wake wajeda... anacheka san... ananitoa hofu anasema anatumia ayo madawa sijui flagyl/P2 mi ckufatilia sn... those days haha i were so young and amateur... i had a geto and she used to love coming anytime as in almost daily when she feels horny... Me, so worried but could not resist a raw screw.. now that i have big sister Madame S , its time to know... so keep dropping that education mama
 
hahahahha una bahati at least a girl knew her worth, izo p2 ni emmergency pills inafanya kaz kama mtu amebakwa or condom ilipasukia na anameza within 72 hours anavyomeza kwa kuwahi ndio ufanisi hufanya kaz zaidi

kuhusu flygyl nilikua nasikia tu watu hutumia emmediately baada ya tendo

kitambaa huweki chochote ni ile damu ya hedhi tu ndio inatumika akishaingia hedhi ts like anakinga ile dam so kile kitambaa hakifuliwi kinafungwa mafundo anaficha sehem ambayo anajua nobody atafika hapo tena akitaka kubeba mimba anakifungua

ubaya ni kua hizo njia bado zilifeli tena hizo za asili zina mtu na mtu at least za hospital ukitumia japo side effects zakw ndio mbaya

wanasema hivo vijiti mtu akitoa haichukui round mtu anabeba ujauzito kwa kweli wapo mbao wamepitiliza miaka hata miwili hawajabeba baada ya kutoa

Mungu atusaidie wanawake.
 
Nawashangaa sana mnaoitaja njia ya Calender kuwa ni salama.Nimekuwa mtaalamu wa kutumia calender lakini ilinifelisha mara tatu,hata sasa Wife amenasa kizembe kwa sababu ya hiyo..https://jamii.app/JFUserGuide U Calender.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…