Serikali sikivu ya Rais Samia Suluhu baada ya kufanyia kazi maoni ya wananchi kuusu tozo sasa imekuja na njia zitakazofidia tozo njia moja wapo ni kupunguza matumizi ya serikali yasiokua na ulazima ambayo ni:
-Semina zimepunguzwa ili kubana matumizi
-Misafara, (magari) machache kubakizwa
-Miradi itakaguliwa na viongozi wachache
-Chai zitapunguzwa vikaoni ili kubana matumizi
Serikali imeamua kupunguza mzigo kwa Watanzania lengo ni kuwainua wananchi
-Semina zimepunguzwa ili kubana matumizi
-Misafara, (magari) machache kubakizwa
-Miradi itakaguliwa na viongozi wachache
-Chai zitapunguzwa vikaoni ili kubana matumizi
Serikali imeamua kupunguza mzigo kwa Watanzania lengo ni kuwainua wananchi