Njia moja ya kutoboa maisha bila kuumiza kichwa au kuiba

Njia moja ya kutoboa maisha bila kuumiza kichwa au kuiba

Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili

Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.

Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000

`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000

Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000

Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba

Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka

300,000,000 /50,000,000 = 6 acres

Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri

Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair

15,000,000 X 48 =720,000,000.

Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.

Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.

Ebu tuongane tupambane na umasikini
720,000,000/100 = 72,000,000/= ❌
720,000,000/100 = 7,200,000/= ✔

Mradi umefia kwenye hii post. Wazo zuri zaidi kuwahi kutolewa na kilaza.
 
Shida ni kuvumilia kuweka hizo afu hamsini Kwa miaka mitano....Kwanza hata Kama zinawekwa benki, lazima kiwango cha Imani cha muhasibu na signatories kijadiliwe[emoji1787]

Halafu watu Mia kwenye issue ya pesa na hizi akili zetu za kimasikini ni watu wengi sana, vurugu lazima ziwepo....hili wazo walau muwe 20 hivi.
Uko sahihi
 
Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili

Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.

Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000

`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000

Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000

Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba

Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka

300,000,000 /50,000,000 = 6 acres

Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri

Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair

15,000,000 X 48 =720,000,000.

Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.

Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.

Ebu tuongane tupambane na umasikini
Siku zote USHIRIKIANO ndio MAFANIKIO.


"Hata kwenye Biblia, Kuna stori ya Mnara wa Babeli,watu walikuwa wanajenga mnara kufika mbinguni na Mungu aliona kwa ushirikiano uliokuwepo, walikuwa wanafanikiwa"

Ndio maana, hakuna Jambo gumu kufanya Kama USHIRIKIANO.


Pili, Sasa hivi Wabongo Wana Roho Kali sana ya TAMAA, DHULMA na KUKOSA UTU kiasi kwamba wamepoteza Imani za watu wengi.

Ni rahisi tu, kuchangia pesa halafu unasikia watu wanakimbia nazo na hakuna kitu watafanywa.
 
Nimecheka post . Nimecheka comments. Kuna watu ukiamua kuwatapeli humu jf uanatapeli kirahisi sana. Unawachanganyia tu namba😂😂😂
 
Shida ni kuvumilia kuweka hizo afu hamsini Kwa miaka mitano....Kwanza hata Kama zinawekwa benki, lazima kiwango cha Imani cha muhasibu na signatories kijadiliwe🤣

Halafu watu Mia kwenye issue ya pesa na hizi akili zetu za kimasikini ni watu wengi sana, vurugu lazima ziwepo....hili wazo walau muwe 20 hivi.

Bado hiyo miaka mitano hayo mashamba ya kukata viwanja yanawasubiri nyinyi na hela yenu ...Kwa bei ya sasa ? ..
 
Back
Top Bottom