nikolas digala
Member
- Aug 7, 2016
- 42
- 25
Na linalohitaji umakini mkubwa.............
include your wifeMkuu technic hii hakuna mwanamke wa kitanzania atakebaki salama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]include your wife
[emoji23] [emoji23]
n0 r0se with0ut th0rn
Kwa hawa wa siku hizi sidhani kama utaweze kumnunulia kila anachokihitaji!Acha kumwuliza mwanamke kama ana boyfriend, mtoe out mnunulie msosi, kinywaji, mfanye acheke, mnunulie kila anachokihitaji kam n sim, nguo na vingne then mwache achague mwenyew kama yuko single ama double.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
akili zangu nazijua mwenyew..
Sent using Jamii Forums mobile app