Njia nyeupe kwa Florent Ibenge kutua Azam FC

Njia nyeupe kwa Florent Ibenge kutua Azam FC

AbaMukulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
2,053
Reaction score
3,586
Hali ya usalama imezidi kuzorota nchini Sudan baada ya kutokea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Kila shughuli ya kibinadamu imesimama. Wasiohusika na vita wanakimbia kunusuru maisha yao.
Hali hiyo imesababisha Kocha wa Al Hilal ya nchini humo kukimbia. Hii inafungua neema kwa klabu ya Azam FC ambayo ilikuwa inamuwinda kocha huyo ili kukinoa kikosi hicho kisichokuwa na kocha mwenye vyeti hadi sasa. Hakika kocha Ibenge akitua pale Chamazi basi Azam FC itakuwa imepata bonge la kocha wa mpira. Ni muda sahihi kabisa kwa Yusuf Bakhresa kukutana na kocha huyu na kumalizana nae mapema na kujiandaa maandalizi ya kuchukua kombe la CAF shirikisho pamoja na ligi kui ya NBC. Kocha huyo amewahi kuchukuchukua kombe la CAF shirikisho akiwa na klabu ya Berkane ya nchini Morocco mwaka jana.
KARIBU AZAM FC FLORENT IBENGE.
 
Hali ya usalama imezidi kuzorota nchini Sudan baada ya kutokea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Kila shughuli ya kibinadamu imesimama. Wasiohusika na vita wanakimbia kunusuru maisha yao.
Hali hiyo imesababisha Kocha wa Al Hilal ya nchini humo kukimbia. Hii inafungua neema kwa klabu ya Azam FC ambayo ilikuwa inamuwinda kocha huyo ili kukinoa kikosi hicho kisichokuwa na kocha mwenye vyeti hadi sasa. Hakika kocha Ibenge akitua pale Chamazi basi Azam FC itakuwa imepata bonge la kocha wa mpira. Ni muda sahihi kabisa kwa Yusuf Bakhresa kukutana na kocha huyu na kumalizana nae mapema na kujiandaa maandalizi ya kuchukua kombe la CAF shirikisho pamoja na ligi kui ya NBC. Kocha huyo amewahi kuchukuchukua kombe la CAF shirikisho akiwa na klabu ya Berkane ya nchini Morocco mwaka jana.
KARIBU AZAM FC FLORENT IBENGE.
Hakuna lolote lile la ajabu analoweza kuleta pale azamu,ataharibu Cv yake tu!!tatizo pale kwanza ni uongozi hakuna viongozi wa mpira pale!!
 
Hata aje guardiola azam haitakuja kuwa timu tishio,siasa za mpira wa tz,haziruhusu azam kuwa timu kubwa.
 
Hakuna lolote lile la ajabu analoweza kuleta pale azamu,ataharibu Cv yake tu!!tatizo pale kwanza ni uongozi hakuna viongozi wa mpira pale!!
Akishaondoka kally ongala mafanikio yanakuja. Ibenge ni bonge la kocha
 
Back
Top Bottom