Weka contacts kwa maana ya web adress sasa, au unaturingishia? Tabia za kike sana hizo kuficha maarifa na fursa kwa wengine vinginevyo acha kutuchora humu.sio kweli mkuu .usiuchukulie ufundi kirahisi kihivyo mzee baba ndio maana mafundi wengi wanakwama..shida nyie mnataka kupima au tumia mashine kama.simu bali mle kuna vitu vingi sana ..vyakufanya na mashine ambavyo mafundi 95% kibongo hawafaham kwaajili wamejifunza kwa kuunga unga.shule zipo ila ni chache na kama hazipo watu tunajifunza kila siku kuna informatio watu tunazilipia na wadau waliopo dunian wanatusogezea material tunajifunza online so ww wasema hakuna shule au wataka shule gani