Habarini ndugu wana Jf , Natumaini mko na Jumapili njema kwa wenye changamoto za hapa na pale Mungu awafanyie wepesi.
Niende moja kwa moja kwenye mada , Naomba kufahamishwa namna nzuri ya kujifunza Crypto currency kwa mlio wajuvi wa hii nyanja
Asanteni
nawasilisha!
Niende moja kwa moja kwenye mada , Naomba kufahamishwa namna nzuri ya kujifunza Crypto currency kwa mlio wajuvi wa hii nyanja
Asanteni
nawasilisha!