Pre GE2025 Njia pekee ya wapinzani kuingia Ikulu ni kupata idadi kubwa ya wabunge kisha kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189

Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.

Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.

Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
 
Bila civil war upinzani hauwezi kuchukua nchi.
Ni simple tu. Mnashinda halafu hamtangazwi...ni hivyo hivyo miaka nenda rudi..

Katiba inasema matokeo ya urais hayahojiwi mahakamani au popote.
Kwahiyo yeyote atakaye-tangazwa na Jaji anayesimamia uchaguzi ndiye Rais mteule hata kama jaji atakosea kwa kusudi..imeisha hiyo.

Hata viti vya ubunge mnabalansiwa..
 
Haiwezekani:
Njia mbadala ziko mbili:
1. Wananchi wote wakae nyumbani wasiende kazini na wasifanye kitu kila kitu kisimame, ambayo ni ngumu.
2. Jeshi lipindue halafu baada ya miaka miwili raia waje kuchaguliwa

Ya pili hapo inawezekana na ndiyo huko tunakomwenda
 

..CCM wanalijua hilo.

..Na kinga yake ni kuengua wagombea ubunge wa upinzani kabla mchezo haujaanza.

..kinga nyingine ni kutokutangaza wapinzani ktk majimbo kadhaa wanayoshinda.
 
Rais ana power kulivunja Bunge saa yeyote akiona wanaelekea kupiga kura....no confidence....anavunja Bunge faster
 
Mbinu nzuri kama ile waliyotumia repablikan na DJ.TrumpπŸ‘ˆ Marekani

(DJ hana uhusiano wowote ule na DJ. Mbowe)

Mbinu hiyo ndiyo iliwapelekea kushinda kwa kishindo kiti cha Urais

Kama chama, CHADEMA tunapokea ushauri wowote.
 
mtanashat hajui kuwa kwa katiba ya tz rais ni mungu mtu, halijui hlo kabisaaaa, ndo maana kaanzisha hii thread.
Unaeza linganisha madaraka ya Raisi qa marekani na qa Tanzania side by side ili tuone kama una hoja?
==========

Unafanya ulinganishi na Katiba ya wapi
 
Watawapaje hao wabunge wakati wanaibiwa kura zao? Hapo cha msingi ni kuunda jeshi na kuanzisha vita tu!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…