Ebu Kama kuna mtu anaweza kuiuliza DEEPSEEK AU CHATJP. Namna ya kuiondoa Ccm madarakani
Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.
Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.
Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
Mbona hasira unabwekabweka 🤣🤣🤣🤣upinzani hua kama mazuzu vile,
kazi yao ni kuibiwa kura tu,
sijui huwa kwenye uchaguzi yanaendaga kukodoa mimacho tu au kusinzia?
ng'we ng'we ng'we, ati kura zimeibiwa, mnazo kwanza ndio hata muibiwe?
nani atawachagua watu wenye midomo na makelele kama upinzani nchini Tanazania?🐒
muulize kiongozi mkuu wa wabwekaji gentleman,Mbona hasira unabwekabweka 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂Ebu Kama kuna mtu anaweza kuiuliza DEEPSEEK AU CHATJP. Namna ya kuiondoa Ccm madarakani
AiseeKwa tulichoshuhudia 2019,2020 na 2024 hawatapata hata mbunge mmoja kwani sheria ni zile zile, kanuni zile zile, Katiba ilel ile, watu wale wale na dhamira ovu ni ile ile.
Wewe ndio unabwekabweka inaonekana unahasira mzee huu mchezo hauhitaji hasira 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣muulize kiongozi mkuu wa wabwekaji gentleman,
kwamba hua ni kusinzia au kukodoa macho kams sungura ndiko kunawafanya kuibiwa msichokua nacho 🐒
Safari hii patachimbika!Shida wanaiba kura, bila uchaguzi huru wataiba Ili wawe na Wabunge wengi
Co rahisi kihivyo bwashee
Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.
Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.
Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
Jeshi lipi hilo bossHaiwezekani:
Njia mbadala ziko mbili:
1. Wananchi wote wakae nyumbani wasiende kazini na wasifanye kitu kila kitu kisimame, ambayo ni ngumu.
2. Jeshi lipindue halafu baada ya miaka miwili raia waje kuchaguliwa
Ya pili hapo inawezekana na ndiyo huko tunakomwenda
Bila vita nyie ccm hamuwez toka...bora iwepo tu tuuane mradi wajukui zetu wakute mema ya nchi😞Unaijua Vita?
Ndo maana nimeitajaUnaijua Vita?
Upinzani sio dhaifu kama watu wanavyodai, bali unakabiliwa na mfumo kandamizi usiowapa nafasi sawa. Unaponyimwa uhuru wa mikutano, vyombo vya dola vinapotumiwa dhidi yako, na tume ya uchaguzi ikiwa na upendeleo, hata uwe na kura ngapi huwezi kushinda kwa haki. Huwezi kusema 'hawana kura' wakati mazingira yenyewe hayaruhusu ushindani wa kweli. Tatizo si upinzani, bali mfumo usio huru na haki!upinzani hua kama mazuzu vile,
kazi yao ni kuibiwa kura tu,
sijui huwa kwenye uchaguzi yanaendaga kukodoa mimacho tu au kusinzia?
ng'we ng'we ng'we, ati kura zimeibiwa, mnazo kwanza ndio hata muibiwe?
nani atawachagua watu wenye midomo na makelele kama upinzani nchini Tanazania?🐒
Mnasema wananchi hawalindi kura zao, mnadhani ni rahisi hivyo? Unapojaribu kulinda kura, unakutana na polisi, unazuiliwa kusimamia matokeo, na hata ukihoji, hakuna chombo huru cha kusikiliza malalamiko yako. Sasa unataka wananchi wafanye nini? Wapigane na system yenye kila kitu mkononi? Msiwapotoshe watu, tatizo si wananchi wala upinzani – tatizo ni mfumo usiowapa nafasi ya kulinda walichokipigia kura!Nyinyi wananchi mnaopiga kura
Kwanini hamlindi kura zenu ?
Una uhakika Katiba ya Tanzania unaijua kweli?
Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.
Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.
Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
Inafikiri haki na usawa utapatikana kwa kutegemea mapenzi mema ya viongozi waliopo madarakani ?Mnasema wananchi hawalindi kura zao, mnadhani ni rahisi hivyo? Unapojaribu kulinda kura, unakutana na polisi, unazuiliwa kusimamia matokeo, na hata ukihoji, hakuna chombo huru cha kusikiliza malalamiko yako. Sasa unataka wananchi wafanye nini? Wapigane na system yenye kila kitu mkononi? Msiwapotoshe watu, tatizo si wananchi wala upinzani – tatizo ni mfumo usiowapa nafasi ya kulinda walichokipigia kura!
Jela za Tanzania hakuna yenye uwezo wa kuweka watu 5000 kwa mara mojaWanaolinda kura huishia kufungwa jela kwa malezo kuwa walitaka kuharibu uchaguzi.
Ndo maana nikasema wapinzani wandering jeshi waing'oe serikali iliyopo madarakaniUnaf
Inafikiri haki na usawa utapatikana kwa kutegemea mapenzi mema ya viongozi waliopo madarakani ?
Wanawekwa hata misituni na mapangoniJela za Tanzania hakuna yenye uwezo wa kuweka watu 5000 kwa mara moja
Wewe huijui Katiba!!!
Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.
Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.
Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.