Pre GE2025 Njia pekee ya wapinzani kuingia Ikulu ni kupata idadi kubwa ya wabunge kisha kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais

Pre GE2025 Njia pekee ya wapinzani kuingia Ikulu ni kupata idadi kubwa ya wabunge kisha kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.

Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.

Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
Ebu Kama kuna mtu anaweza kuiuliza DEEPSEEK AU CHATJP. Namna ya kuiondoa Ccm madarakani
 
upinzani hua kama mazuzu vile,
kazi yao ni kuibiwa kura tu,

sijui huwa kwenye uchaguzi yanaendaga kukodoa mimacho tu au kusinzia?

ng'we ng'we ng'we, ati kura zimeibiwa, mnazo kwanza ndio hata muibiwe?

nani atawachagua watu wenye midomo na makelele kama upinzani nchini Tanazania?🐒
Mbona hasira unabwekabweka 🤣🤣🤣🤣
 
muulize kiongozi mkuu wa wabwekaji gentleman,

kwamba hua ni kusinzia au kukodoa macho kams sungura ndiko kunawafanya kuibiwa msichokua nacho 🐒
Wewe ndio unabwekabweka inaonekana unahasira mzee huu mchezo hauhitaji hasira 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.

Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.

Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
Co rahisi kihivyo bwashee
 
Haiwezekani:
Njia mbadala ziko mbili:
1. Wananchi wote wakae nyumbani wasiende kazini na wasifanye kitu kila kitu kisimame, ambayo ni ngumu.
2. Jeshi lipindue halafu baada ya miaka miwili raia waje kuchaguliwa

Ya pili hapo inawezekana na ndiyo huko tunakomwenda
Jeshi lipi hilo boss
 
upinzani hua kama mazuzu vile,
kazi yao ni kuibiwa kura tu,

sijui huwa kwenye uchaguzi yanaendaga kukodoa mimacho tu au kusinzia?

ng'we ng'we ng'we, ati kura zimeibiwa, mnazo kwanza ndio hata muibiwe?

nani atawachagua watu wenye midomo na makelele kama upinzani nchini Tanazania?🐒
Upinzani sio dhaifu kama watu wanavyodai, bali unakabiliwa na mfumo kandamizi usiowapa nafasi sawa. Unaponyimwa uhuru wa mikutano, vyombo vya dola vinapotumiwa dhidi yako, na tume ya uchaguzi ikiwa na upendeleo, hata uwe na kura ngapi huwezi kushinda kwa haki. Huwezi kusema 'hawana kura' wakati mazingira yenyewe hayaruhusu ushindani wa kweli. Tatizo si upinzani, bali mfumo usio huru na haki!
 
Nyinyi wananchi mnaopiga kura
Kwanini hamlindi kura zenu ?
Mnasema wananchi hawalindi kura zao, mnadhani ni rahisi hivyo? Unapojaribu kulinda kura, unakutana na polisi, unazuiliwa kusimamia matokeo, na hata ukihoji, hakuna chombo huru cha kusikiliza malalamiko yako. Sasa unataka wananchi wafanye nini? Wapigane na system yenye kila kitu mkononi? Msiwapotoshe watu, tatizo si wananchi wala upinzani – tatizo ni mfumo usiowapa nafasi ya kulinda walichokipigia kura!
 

Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.

Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.

Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
Una uhakika Katiba ya Tanzania unaijua kweli?
 
Unaf
Mnasema wananchi hawalindi kura zao, mnadhani ni rahisi hivyo? Unapojaribu kulinda kura, unakutana na polisi, unazuiliwa kusimamia matokeo, na hata ukihoji, hakuna chombo huru cha kusikiliza malalamiko yako. Sasa unataka wananchi wafanye nini? Wapigane na system yenye kila kitu mkononi? Msiwapotoshe watu, tatizo si wananchi wala upinzani – tatizo ni mfumo usiowapa nafasi ya kulinda walichokipigia kura!
Inafikiri haki na usawa utapatikana kwa kutegemea mapenzi mema ya viongozi waliopo madarakani ?
 
Zipigwe kama kwa Samola Machela kidogo hata kamwezi huenda tukaheshimiana,,,,,unajua makada wanatuchukulia poa sana????zipigwe kidogo pachangamke
 

Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.

Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.

Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.
Wewe huijui Katiba!!!
Kabla ya Wabunge kufikia hatua ya kupiga hiyo kura Rais anakuwa tayari keshalivunja Bunge!
CCM tuna akili ndefu sana usidhani CCM Ina watu roporopo kama CHADEMA na vyama vingine vya Upinzani.
 
Back
Top Bottom