Kwanza CCM haitaruhusu upinzani upate idadi kubwa ya wabunge kuliko wao. Pili hata ingetokea na wakapiga kura ya kutokuwa na imani bado rais angelivunja bunge hilo. Katiba yetu ni mbovu mno ibadikishwe, tupate tume huru ya uchaguzi. Kwasasa njia pekee ni wananchi kuingia mtaani na kuikataa CCM kwa mawe na mapanga.
Vyama pinzani wasipoteze muda kusimamisha mgombea wa nafasi ya urais badala yake wapambane juu chini kupata wabunge wengi sana.
Wakiwa na idadi kubwa ya wabunge bila shaka kuna watakao penya mpaka nafasi ya uwaziri.
Baada ya hapo wakiona rais atakayekuwa madarakani hatoshi basi wapige kura ya kutokuwa na imani na rais na wampitishe mwenzao nafasi ya urais.