kumekuwa na tatizo la obesity kwa vijana wengi wa kitanzania bila wao kujijuia leo nakupa njia rahisi mimi ni mgeni humu uenda imeshapostiwa ila si mbaya kujikumbusha
-pima uzito wako kwa sentimeta let say sentimeta 179,150,180, etc
-chukua hiyo figua minus 100 let say 179-100=79
-itakayobaki ndio uzito wako unaotakiwa kuwa nao
-inshort urefu wako in cm minus 100 equal to your reqiured weight
kumekuwa na tatizo la obesity kwa vijana wengi wa kitanzania bila wao kujijuia leo nakupa njia rahisi mimi ni mgeni humu uenda imeshapostiwa ila si mbaya kujikumbusha
-pima uzito wako kwa sentimeta let say sentimeta 179,150,180, etc
-chukua hiyo figua minus 100 let say 179-100=79
-itakayobaki ndio uzito wako unaotakiwa kuwa nao
-inshort urefu wako in cm minus 100 equal to your reqiured weight
Mkuu, ninaomba kuuliza kwanini namba iwe hiyo iwe 100sentimita?..Yaani why that constant?Derived from?
Ninauliza hivyo kwa sababu kwa vigezo vya Body Mass Index (BMI), Huweza kuwa na kilo kadhaa mfano BMI kati ya 18 hadi 25 ikawa inakubalika.
Sasa endapo mtu atakuwa amepata uzito wa juu/Mkubwa kuliko inavyotakiwa kulingana na 'formula' hiyo hapo juu lakini yuko katika viwango sawa vya BMI(Yaani si underweight, overweight su obese) atakuwa sawa? Na je hiyo humaanisha nini?
NB: BMI hupatikana kwa
(Uzito wa mtu katika kg)÷ (Urefu wa mtu katika mita^2)
This tiba mbadala,has no scietific proof!
kumekuwa na tatizo la obesity kwa vijana wengi wa kitanzania bila wao kujijuia leo nakupa njia rahisi mimi ni mgeni humu uenda imeshapostiwa ila si mbaya kujikumbusha
-pima uzito wako kwa sentimeta let say sentimeta 179,150,180, etc
-chukua hiyo figua minus 100 let say 179-100=79
-itakayobaki ndio uzito wako unaotakiwa kuwa nao
-inshort urefu wako in cm minus 100 equal to your reqiured weight