Njia rahisi kupata msaada kupitia app ya carlcare kiganjani mwako

Njia rahisi kupata msaada kupitia app ya carlcare kiganjani mwako

TECNO Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 6, 2016
Posts
192
Reaction score
217
carl.jpg



Je, unafahamu kuwa kupitia simu yako unaweza kupata msaada wa kufahamu ghalama mbalimbali za malekebisho ya simu bila hata kufika katika kituo chetu cha matengenezo CARLCARE SERVICE CENTER. Unachotakiwa ni kudownload APP ya Carlcare then katika menu ya APP pale utaona vitu mbalimbali kama ifuatavyo: -

Screenshot_20220308-093046_1.jpg

Menu ya carlcare app baada ya kufungua


Kwenye kipengele cha “LOCATION” hapo ndio utaweza kuona kila kituo cha Carlcare kila mkoa, mahali kilipo na bila kusahau namba za simu. Unachotakiwa kufanya ni "ingia kwenye sehemu ya LOCATION kisha sachi mkoa uliopo , baada ya hapo vitakuja vituo mbalimbali kwa mkoa huo na mahali kituo kilipo.

Screenshot_20220308-125428.jpg

Maelezo ya kituo cha carlcare



Kwenye kipengele cha “PRICE” hapo ndio utakutana na vipengele mbalimbali cha kwanza kabisa ni kuchagua model ya simu yako, baada ya hapo yanakuja maelezo yakionesha kila sehemu inaotakiwa kufanyiwa maelekebisho na ghalama ya kulekebishia. Hivyo inakuwa rahisi kwako kujua ghalama za matengenezo bila hata kufika kwenye kituo cha kutolea huduma.

Screenshot_20220308-125315.jpg

Mfano wa ghalama za malekebisho



Kufahamu Zaidi juu ya carlcare na utoaji huduma tembelea: Infinix, TECNO, itel official customer support-Carlcare Tanzania
 
Hizo bei za spare zionekanazo kwa app ndio uhalisia ukienda pale dukani kwenu mfano kkoo au?
 
Hizo bei za spare zionekanazo kwa app ndio uhalisia ukienda pale dukani kwenu mfano kkoo au?
Bei izi ndio bei za pale pale. ukiona tofauti unawaonyesha kwenye APP bei nimeona
Bei izi wanaweka wenyewe boss kwahiyo haziwezi kuwa tofauti
 
Utaratibu gani unatumika ili kupata ajira ndani ya Carlcare ukiwa Kama technician uliemaliza mafunzo
 
Back
Top Bottom