Wakuu habari ya saivi?
Leo nimekaa nikapata hili wazo. Asilimia 89% ya watu wanatafuta ajira humu ndani ni watu ambao wana proffesional zao nzuri. Mfano : Humu kuna Engineers, Technicians na wahasibu
Sasa hivi hawa watu ( Engineer + Technician + accountant) wakiungana si wanaweza wakaunda kampuni na baadae wakifanikiwa wakawa chanzo cha ajira kwa vijana wengine (hata ambao hawana elimu)
Badala ya wao kuhangaika kutafuta ajira, wataanza kupambana kutafuta Mtaji, mtaji ambao wanaweza wakaupata kwa kutafuta kazi ndogo ndogo kulingana na proffesional zao na kwenda kuzifanyia kwenye kampuni nyingine(SUB-CONTRACT).
Naomba kuwasilisha wazo.
Leo nimekaa nikapata hili wazo. Asilimia 89% ya watu wanatafuta ajira humu ndani ni watu ambao wana proffesional zao nzuri. Mfano : Humu kuna Engineers, Technicians na wahasibu
Sasa hivi hawa watu ( Engineer + Technician + accountant) wakiungana si wanaweza wakaunda kampuni na baadae wakifanikiwa wakawa chanzo cha ajira kwa vijana wengine (hata ambao hawana elimu)
Badala ya wao kuhangaika kutafuta ajira, wataanza kupambana kutafuta Mtaji, mtaji ambao wanaweza wakaupata kwa kutafuta kazi ndogo ndogo kulingana na proffesional zao na kwenda kuzifanyia kwenye kampuni nyingine(SUB-CONTRACT).
Naomba kuwasilisha wazo.