BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Habari wakuu,
Mimi ni mfanyabiasha, hivi sasa nimepata soko la bidhaa zangu za nguo huko Namibia.
Naombeni kufahamu njia rahisi za kusafirisha nguo kupeleka Namibia. DHL/FEDEX nk ni gharama sana kwa wateja wangu.
Hawanunui mzigo mkubwa sana, ni kati ya pisi kumi na pisi 20 kila wanapoagiza.
Naombeni ushauri wenu wakuu
Mimi ni mfanyabiasha, hivi sasa nimepata soko la bidhaa zangu za nguo huko Namibia.
Naombeni kufahamu njia rahisi za kusafirisha nguo kupeleka Namibia. DHL/FEDEX nk ni gharama sana kwa wateja wangu.
Hawanunui mzigo mkubwa sana, ni kati ya pisi kumi na pisi 20 kila wanapoagiza.
Naombeni ushauri wenu wakuu