Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Zipo njia kuu mbili za kuzuia bei ya mafuta isipande sana ndani ya nchi.
1. Kuchukua mafuta yaliyonunuliwa kwa bei ndogo na kuhifadhiwa, mafuta hayo unayaingiza sokoni na kuyauza kwa bei za kawaida. Hichi ndicho wamefanya US. Kwa Tanzania hili ni haliwezekani hatuna kawaida ya kuhifadhi mafuta. Wala sehemu ya kuhifadhia mafuta kwaajili ya dhalula hatuna.
2. Kupunguza kodi zilizowekwa kwenye mafuta. Hizi kodi zilizomo kwenye mafuta zikipunguzwa bei itabalance tu.
Tukiweza kubalance bei ya mafuta wala bidhaa hazitoweza kupanda bei.
Lakini tujiandae pia yawezekana mafuta yakaanza kukosekana duniani.
Mwisho kabisa Nigeria safari za ndege zimeanza kuahirishwa sababu ya kukosa mafuta.
1. Kuchukua mafuta yaliyonunuliwa kwa bei ndogo na kuhifadhiwa, mafuta hayo unayaingiza sokoni na kuyauza kwa bei za kawaida. Hichi ndicho wamefanya US. Kwa Tanzania hili ni haliwezekani hatuna kawaida ya kuhifadhi mafuta. Wala sehemu ya kuhifadhia mafuta kwaajili ya dhalula hatuna.
2. Kupunguza kodi zilizowekwa kwenye mafuta. Hizi kodi zilizomo kwenye mafuta zikipunguzwa bei itabalance tu.
Tukiweza kubalance bei ya mafuta wala bidhaa hazitoweza kupanda bei.
Lakini tujiandae pia yawezekana mafuta yakaanza kukosekana duniani.
Mwisho kabisa Nigeria safari za ndege zimeanza kuahirishwa sababu ya kukosa mafuta.