Njia rahisi za kuuza nyumba

Njia rahisi za kuuza nyumba

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
1,634
Reaction score
3,833
Habari za wakati huu ndugu zangu!

Naomba kuuliza kama kuna mtu yoyote anajua taasisi, shirikika au hata kamapuni ambayo inajishughulisha na ununuaji wa maeneo au hata nyumba kwa haraka.

Kuna eneo la ndugu analiuza, sasa ni muda mrefu sana, na bei anayouza ni rafiki sana cha ajabu hauzi kabisa, licha ya kuwa na madalali wa kutosha lakini wapi.

Nyinyi mlitumia njia gani kuuza maeneo yanu?

Naomba uelekeo

Msaada.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu!
Naomba kuuliza Kama Kuna mtu yoyote anajua Taasisi, shirikika au hata kamapuni ambayo inajishughulisha na ununuaji wa maeneo au hata nyumba kwa haraka.

Kuna Eneo la Ndugu Analiuza, Sasa Ni muda mrefu Sana, na Bei anayouza ni rafiki sana Cha ajabu hauzi kabisa, licha ya kuwa na madalali wa kutosha lakini wapi.

Nyinyi mlitumia njia gani kuuza maeneo Yanu??
Naomba uelekeo
Msaada.
Nitumie maelezo yote dm tufanye kazi ila ikiwa ipo dar tu
ahsante
 
tsh ngapi

wapi
Nyumba IPO Jiji la ilala, kata ya kitonga Dar es salaam.

Nyumba hii imejingwa level ya msingi wenye Tofali name kutoka chini kwa ustadi wa Hali ya juu..na imepingwa mkanda

Rakini pia kuna shimo la choo liliochimbwa na kujengewa Ni futi 12.

Mbali na hapo eneo ilo lipo Karibu na huduma za jamii Kama shule ya msingi Kitonga na zahanati ya kitonga.

Rakini pia kuna chumba kimoja kimechengwa mpaka juu na kupauliwa.

Kwa nyongeza nyumba hii Tayari Ina ramani ya umeme na eneo Hilo Hakuna mgogoro wowote.

Kwa kumalizia nyumba ina vyumba vitatu, sitting room, dyninmg room na choo Cha ndani.

Ukubwa Ni futi 45 kwa 50
Vyote msingi na kiwanja bei Ni 5m
0784312904

Alafu hauzi [emoji3064]
 
Picha zake hizi
IMG_20211224_100003.jpg
View attachment 2113467
 
Back
Top Bottom