Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari za wakati huu ndugu zangu!
Naomba kuuliza kama kuna mtu yoyote anajua taasisi, shirikika au hata kamapuni ambayo inajishughulisha na ununuaji wa maeneo au hata nyumba kwa haraka.
Kuna eneo la ndugu analiuza, sasa ni muda mrefu sana, na bei anayouza ni rafiki sana cha ajabu hauzi kabisa, licha ya kuwa na madalali wa kutosha lakini wapi.
Nyinyi mlitumia njia gani kuuza maeneo yanu?
Naomba uelekeo
Msaada.
Naomba kuuliza kama kuna mtu yoyote anajua taasisi, shirikika au hata kamapuni ambayo inajishughulisha na ununuaji wa maeneo au hata nyumba kwa haraka.
Kuna eneo la ndugu analiuza, sasa ni muda mrefu sana, na bei anayouza ni rafiki sana cha ajabu hauzi kabisa, licha ya kuwa na madalali wa kutosha lakini wapi.
Nyinyi mlitumia njia gani kuuza maeneo yanu?
Naomba uelekeo
Msaada.