chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 752
- 1,239
Hiki ndicho kinachoonekana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ndicho kinachoonekana mkuu
Chanika to mbandeKitonga Ile ya mbande au njia ya Chanika to Mbagala?
Itakuwa Kuna Jambo hapa mkuu
Kama unazungumzia ile njia ya mbande ya chamanzi basi ndio huko hukoKitonga Ile ya mbande au njia ya Chanika to Mbagala?
Sawa BossSasa wacha nikwambie ukweli mimi nina mji huko na hayo maeneo ninayajua nadhan kama sijakosea panaitwa kibungo[emoji16]nitakupigia ili tuone tunafanyaje
Nimejifunza kitu hapa.
Ndio Ndio mkuu napapata hapo kitonga!Kama unazungumzia ile njia ya mbande ya chamanzi basi ndio huko huko
Sawa!njia rahisi nayo kushauri nenda bank kakope hiyo 5m then weka bond hiyo nyumba yako hakuna kulipa den watachukua wenyew na kuuza wanakusaidiaaaa
Haya KiongoziNgoja waje kukupa muongozo...
Nina milioni 4 mkuu tufanye biasharaHabari za wakati huu ndugu zangu!
Naomba kuuliza kama kuna mtu yoyote anajua taasisi, shirikika au hata kamapuni ambayo inajishughulisha na ununuaji wa maeneo au hata nyumba kwa haraka.
Kuna eneo la ndugu analiuza, sasa ni muda mrefu sana, na bei anayouza ni rafiki sana cha ajabu hauzi kabisa, licha ya kuwa na madalali wa kutosha lakini wapi.
Nyinyi mlitumia njia gani kuuza maeneo yanu?
Naomba uelekeo
Msaada.
Tuwasiliane 0784312904