Aineksha Lugangira
Member
- Aug 12, 2017
- 16
- 4
Habari zenu jamani, nilikua naomba kama kuna mtu anajua njia rahisi ya kutuma mizigo kutoka Marekani kwenda Tanzania anipe mwongozo.Coz sielewi Tanzania posta wanatumia vigezo gani wanapo charge mzigo tena mara mbili ya ulivolipiwa marekani.Plz naomba anaefaham anielekeze
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app