Mahendeka27
Member
- Aug 20, 2022
- 49
- 49
Naomba comment zenu wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapenda kutusumbua sana, hivi vichwa vyenu huwa hamvisumbui kabisa?Naomba comment zenu wakuu
Bro tusaidie njia za kutunza pesaMnapenda kutusumbua sana, hivi vichwa vyenu huwa hamvisumbui kabisa?
Unatunza za nini? We tumia pesa ikuzoee🤣🤣Bro tusaidie njia za kutunza pesa
Njia ya kwanza ya kutunza pesa ni kuwa nazo. Baada ya hapo andaa bajeti ukiainisha matumizi, akiba, uwekezaji n. k kwa kuziwekea asilimia mf. Savings/Akiba 10% ya kipato chako.Bro tusaidie njia za kutunza pesa
Hujui kitu wewe...tumia pesa ikuzoee nsNjia ya kwanza ya kutunza pesa ni kuwa nazo. Baada ya hapo andaa bajeti ukiainisha matumizi, akiba, uwekezaji n. k kwa kuziwekea asilimia mf. Savings/Akiba 10% ya kipato chako.
Halafu ninakuahidi kulipa kisasi kununua ile kitimoto uliagiza na ukaiacha bila kuila🤣🤣🤣Bro tusaidie njia za kutunza pesa
Niache asee usinikumbushe machungu 😂Halafu ninakuahidi kulipa kisasi kununua ile kitimoto uliagiza na ukaiacha bila kuila🤣🤣🤣
Shemela, hadi wewe wa Ilemela huwezi kutunza pesa..!!Bro tusaidie njia za kutunza pesa
Usikute hadi leo bado unameza mate ya ile kitimoto. Mwamba alitisha sanaNiache asee usinikumbushe machungu 😂
DadavuaNaomba comment zenu wakuu
Njia nzuri ya kutunza pesa ni kutumia na wabebez hatojuta😂Bro tusaidie njia za kutunza pesa
Formula:Naomba comment zenu wakuu
Afukumi du!Formula:
Bajeti 50/30/20
50% = 0.5 ->Matumizi ya lazima
30% = 0.3 ->Matumizi yasiyo na ulazima
20% = 0.2 ->Akiba
Mfano: una afukumi 10,000
10,000×0.5 = 5000
10,000×0.3 = 3000
10,000×0.2 = 2000
Akiba yako afumbili 2000 ichimbi chini baada ya mwaka
2000×365 = 730,000
Utakua umeweka akiba ya kutosha hapo