NJIA SAHIHI ZA KUTOA TAARIFA ZA UDHALILISHAJI KWA KIONGOZI MKUBWA KWA KISASA PLs USHAURI.

NJIA SAHIHI ZA KUTOA TAARIFA ZA UDHALILISHAJI KWA KIONGOZI MKUBWA KWA KISASA PLs USHAURI.

Maelezo yanajichanganya,inavyoonekana tangu mwanzo kuna vitu ulivigundua ila ukawa kimya sababu tu eti ya fadhila za muheshimiwa,hata hivyo inavyoonekana mdogo wako alianzia hapo UDSM huo mchezo na ndio maana ikawa rahisi muheshimiwa kumpa shavu ili ajilie kiulaini.
 
acha hasira,anaweza kukumega hata wewe,tumia busara!!kwanza huyo dogo **** sana,atawezaje kutumika akili nyingi sana kupiga picha nae badala ya kuzitumia kusoma nyakati kabla?kama kuliwa 0713 tayari na huwezi kufuta ukweli huo,sana sana atammwaga asipompa tena na hiyo masters ikaishia njiani na kuikosa wakati yeye katoa mambo.
 
Yaani naomba uniarike siku ya kwenda kumfanyizia IMENIUMA KWA KWELI.
 
UKI,
avatar88413_4.gif
bronze.png
Leo ni Siku ya 20 imepita toka uje na habari hii ya mdogo wako. Je, umefikia wapi?

Kwavile uliileta habari hii hapa Jamvini, basi nivyema ukatupatia mrejesho wake!!! Au, bado hujapata hiyo njia sahihi ya kumchukulia huyo firauni?
 
ninamashaka na huyo mdogo wako huenda huu mchezo umeanza kitambo sana, ila pole sana namshauri achunguze na afya yake maana inawezekana jamaa afya sio nzuri, maana kutolewa bikra kunaambatana na michubuko.
 
Jamani kisa hiki ni kwa ukweli napia kinahitaji sana ushauri wenu kabla ya kuchukua hatua maana tusipoangalia maisha ya huyu kijana ambae ni mdogo wangu yanaweza kuwa hatarini
kuna kiongozi mkubwa wa kisiasa katika jamhuri ya muungano wa Tanzania sitasema ni upande gani alikutana na mdogo wangu kwenye ziara moja huko huko katika mambo ya kisiasa mdogo wangu alikuwa chuo kikuu UDSM (ni wa kiume) ktk mazungumzo yalikuwa ya kisisasa ila mwisho wa siku likaingia suala la kusoma nje, kiongozi huyo akamuambia kuna ufadhili unaweza kuomba katika serikali ya jamhuri wa muungano wa tanzania mdogo wangu hakuamini akachukua conatact zake akaja akaniambia nilishangaa sana alianzaje kuongea nae maana mimi hata waziri tu sijawahi kukutana nae wakati huo mimi nilikuwa jirani mwa nchi nafanya kazi basi siku zikapita maisha yakaendelea sikujua kilichokuwa kinaendelea ila mwisho wa siku mdogo wangu alinipigia amepata full scholarship kusoma master nje dah nilifurahi sana kusikia hivyo nikampongeza mdgo wangu akaenda kusoma.
VISA vikaanza

mdogo wangu akawa anasoma na anaendelea vizuri na masomo mawasiliano yakawa hayaishi na huyu kiongozi na wakati mwingine akawa anamtembelea kitu ambacho sio cha kawaida ila mdogo wangu alichukulia sawa tu hakujua nini mbele yake sasa ndugu zanguni huwezi amini siku moja kiongozi huyo aliaenda nchi fulani akamwambia unaweza kuja kama mmoja wa wanafunzi wa kitanzania kuja kwenye ziara hiyo mdogo wangu huyo akaenda na aliandaliwa kila kitu kuhusu malazi na chakula ziara ikaisha usiku kumbe hotel walifikia moja kiongozi huyo akaenda chumbani kwake wakaendelea kuzungumza ila mwisho wa siku anasema sijui alitumia nini ila alijikuta asubuhi wote wapo uchi sitasema kilichotokea maana watu wazima mnaelewa sasa basi mdogo wangu alilia sana na akamuelezea asiseme kwa mtu yoyote mdogo wangu akasema sawa ila alinipigia simu analia kuhusu hicho kisa ana hajamuelezea mtu yoyote sijaonana na mdogo wangu bado yupo huko anatarajia kuja sept nina hasira nae sana sana na sijui nikimuona atanieleza nini? hapa nilipo najiwaza inawezekana hata kabla hajaondoka kuna dalili ambazo huyu kiongozi alikuwa anazionyesha kwake ila hakuniambia na kwanini hakuniambia?? halafu kwanini akubali anywe kinywaji ambacho ameletewa chumbani ambacho hajakifungua yeye?? huu ni uzembe mkubwa kwa huyo mdogo wangu. sasa basi hili suala nimeamua kulifanyia kazi nipo tayari kuhatarisha maisha yangu kabisa swezi kuvumilia hata kidogo naomba ushauri ni vyombo gani husika ambavyo nivitumie kufikisha ujumbe?? picha ninazo maana mdogo wangu pamoja na kuamka asubuhi alitumia akili sana kwa kupiga nae picha wakiwa wote na amenitumia ninazo jamani naomba mnishauri kwa busara sana hawa wanakuwa mstari wa mbele kupinga vitendo vya kijinga ila wao ndio wanavifanya. ushauri wa busara unahitajika, plz sitarajii mniulize ni nani.

Wasiliana na mawakili wa chadema watakusaidia unaweza mtafuta Tundu lisu au Mabere marando hapo piga ua watalifikisha kunakohusika hasa ukizingatia aliyefanya unyama huo ni Gamba lazima ajivue
 
Jamani kisa hiki ni kwa ukweli napia kinahitaji sana ushauri wenu kabla ya kuchukua hatua maana tusipoangalia maisha ya huyu kijana ambae ni mdogo wangu yanaweza kuwa hatarini
kuna kiongozi mkubwa wa kisiasa katika jamhuri ya muungano wa Tanzania sitasema ni upande gani alikutana na mdogo wangu kwenye ziara moja huko huko katika mambo ya kisiasa mdogo wangu alikuwa chuo kikuu UDSM (ni wa kiume) ktk mazungumzo yalikuwa ya kisisasa ila mwisho wa siku likaingia suala la kusoma nje, kiongozi huyo akamuambia kuna ufadhili unaweza kuomba katika serikali ya jamhuri wa muungano wa tanzania mdogo wangu hakuamini akachukua conatact zake akaja akaniambia nilishangaa sana alianzaje kuongea nae maana mimi hata waziri tu sijawahi kukutana nae wakati huo mimi nilikuwa jirani mwa nchi nafanya kazi basi siku zikapita maisha yakaendelea sikujua kilichokuwa kinaendelea ila mwisho wa siku mdogo wangu alinipigia amepata full scholarship kusoma master nje dah nilifurahi sana kusikia hivyo nikampongeza mdgo wangu akaenda kusoma.
VISA vikaanza

mdogo wangu akawa anasoma na anaendelea vizuri na masomo mawasiliano yakawa hayaishi na huyu kiongozi na wakati mwingine akawa anamtembelea kitu ambacho sio cha kawaida ila mdogo wangu alichukulia sawa tu hakujua nini mbele yake sasa ndugu zanguni huwezi amini siku moja kiongozi huyo aliaenda nchi fulani akamwambia unaweza kuja kama mmoja wa wanafunzi wa kitanzania kuja kwenye ziara hiyo mdogo wangu huyo akaenda na aliandaliwa kila kitu kuhusu malazi na chakula ziara ikaisha usiku kumbe hotel walifikia moja kiongozi huyo akaenda chumbani kwake wakaendelea kuzungumza ila mwisho wa siku anasema sijui alitumia nini ila alijikuta asubuhi wote wapo uchi sitasema kilichotokea maana watu wazima mnaelewa sasa basi mdogo wangu alilia sana na akamuelezea asiseme kwa mtu yoyote mdogo wangu akasema sawa ila alinipigia simu analia kuhusu hicho kisa ana hajamuelezea mtu yoyote sijaonana na mdogo wangu bado yupo huko anatarajia kuja sept nina hasira nae sana sana na sijui nikimuona atanieleza nini? hapa nilipo najiwaza inawezekana hata kabla hajaondoka kuna dalili ambazo huyu kiongozi alikuwa anazionyesha kwake ila hakuniambia na kwanini hakuniambia?? halafu kwanini akubali anywe kinywaji ambacho ameletewa chumbani ambacho hajakifungua yeye?? huu ni uzembe mkubwa kwa huyo mdogo wangu. sasa basi hili suala nimeamua kulifanyia kazi nipo tayari kuhatarisha maisha yangu kabisa swezi kuvumilia hata kidogo naomba ushauri ni vyombo gani husika ambavyo nivitumie kufikisha ujumbe?? picha ninazo maana mdogo wangu pamoja na kuamka asubuhi alitumia akili sana kwa kupiga nae picha wakiwa wote na amenitumia ninazo jamani naomba mnishauri kwa busara sana hawa wanakuwa mstari wa mbele kupinga vitendo vya kijinga ila wao ndio wanavifanya. ushauri wa busara unahitajika, plz sitarajii mniulize ni nani.

UKI:
Je, umefikia wapi juu ya issue ya huyo mdogo wako? Ni jambo jema kutoa "feedback" kwa watu uliowashirikisha tatizo lako japo si-lazima, kuliko kukaa kimya. Kwani, kimya maana yake; umefanikiwa, bado hujafanikiwa na au pengine dogo wako kajirekebisha. Je. wewe uko kundi lipi?
 
Back
Top Bottom