Njia wanayoweza kutumia wadada kupata waume wa kuwaoa kwa haraka

Nyie hii kitu inafanya kazi aisee...kuna mdada alinitongoza nilishindwa kukataa, nikajikuta nimemkubalia na kumuelewa🤣
 
Hapo lolote laweza kutokea,mwenye nia na ndoa anaweza akaliwa na ndoa ikaota mbawa,ama anaweza akamuonjesha jamaa na akakolea na ndoa ikapita moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…