Msolid1990
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 144
- 50
Jamani ndugu zangu njia yangu ya haja kubwa inawasha sana kwa nnje ni kama miaka minne hivi ukiwa unawasha sana. Najikuna huko hadi najichubuka, nimetumia sana dawa ya minyoo nilivyoshauriwa na daktari lakini bado cjapata nafuu. Mnisaidieni!!