Njia ya haraka ya kupunguza mafuta mwilini

Njia ya haraka ya kupunguza mafuta mwilini

Usiku kabla huja lala chukua tangawizi 1kubwa isage giliglani fungu moja ama moja na nusu saga kwenye blend limao 1huo mchanganyiko unatakiwa upate glas moja asubuhi kabla hujala chochote mdalasini kijiko cha chakula asali mbichi kijiko kimoja cha chakula veneg acid vijiko viwili limao vijiko 2maji ya uvuguvugu na yenyewe upate glas 1ila mdalasi unatakiwa maji ya moto yakishapoa ndiyo unachanganya hivyo vingine
 
Mpango mzima ni 1*mazoezi*2. epuka kula wanga hasa wakati wa usiku*3.vinywaji vyenye sukari nyingi piga chini*4....kati ya vitu vyote mazoezi ndio mfalme wa uzito* kwa siku moja tu unaweza kupunguza kilo 1*hasa mazoezi ya kuruka kamba na kukimbia cha kuzingati we toka jasho la kutosha.
 
Usiku kabla huja lala chukua tangawizi 1kubwa isage giliglani fungu moja ama moja na nusu saga kwenye blend limao 1huo mchanganyiko unatakiwa upate glas moja asubuhi kabla hujala chochote mdalasini kijiko cha chakula asali mbichi kijiko kimoja cha chakula veneg acid vijiko viwili limao vijiko 2maji ya uvuguvugu na yenyewe upate glas 1ila mdalasi unatakiwa maji ya moto yakishapoa ndiyo unachanganya hivyo vingine
Jamani naona tunaweza kuuana bure humu jamvini maana hizo acid zote ndani ya tumbo tupu. Mbona ni kazi kweli kweli.
 
Njia rahisi
Acha kunywa bia
Acha kula mawali na maugali ya sembe hasa usiku kula matunda tu usiku
Punguza kula nyama hasa nyekundu namaanisha ya nģombe,mbuzi na kondoo
Kunywa maji lita 5 kwa siku
Achana na soda na sukari ukiweza kwa mwezi mmoja umepona.
 
Unene unapatikana kwenye kula na unene unaondolewa uko uko kwenye kula ,
Kama una uwezo acha kula vyakula vya wanga(ugali, wali, chips, bia, tambi) jikite kwenye protein( nyama, samaki, kuku, maarage )
 
Mpango mzima ni 1*mazoezi*2. epuka kula wanga hasa wakati wa usiku*3.vinywaji vyenye sukari nyingi piga chini*4....kati ya vitu vyote mazoezi ndio mfalme wa uzito* kwa siku moja tu unaweza kupunguza kilo 1*hasa mazoezi ya kuruka kamba na kukimbia cha kuzingati we toka jasho la kutosha.
Daah....kwa siku unakata kilo..
 
Back
Top Bottom