OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Katika harakati za kutafuta mkate kumekuwa na fitina nyingi na majungu miongoni mwetu.
Sasa katika biashara zangu nikapata bro ambaye kila ikitika jioni anapiga simu kuwasema wenzake mabaya. Nilimvumilia mara ya kwanza tu,mara ya pili nimemuunga conference call (mkutano) na mtu aliyekuwa anamsema bila kujua. Alivyomaliza tu kubwabwaja, nikamwambia mhusika yupo hapa anakusikia yote sasa tumpe nafasi na yeye ajibu. Upande wa pili ukaomba arudie ili ajibu kimoja baada ya kingine. Bro kusikia sauti ya mtu aliyekuwa anamfitinisha akakata simu. Tukajaribu kumpigia hakupokea baadae akazima simu. Tukampigia mkewe ampe simu,amegoma kupokea.
Ushauri wangu ni kwamba wabongo wengi ni watu wa kupakazia. Kama jungu litakuja kwa njia ya simu, hebu tumia conference call kumaliza mzizi wa fitna
Sasa katika biashara zangu nikapata bro ambaye kila ikitika jioni anapiga simu kuwasema wenzake mabaya. Nilimvumilia mara ya kwanza tu,mara ya pili nimemuunga conference call (mkutano) na mtu aliyekuwa anamsema bila kujua. Alivyomaliza tu kubwabwaja, nikamwambia mhusika yupo hapa anakusikia yote sasa tumpe nafasi na yeye ajibu. Upande wa pili ukaomba arudie ili ajibu kimoja baada ya kingine. Bro kusikia sauti ya mtu aliyekuwa anamfitinisha akakata simu. Tukajaribu kumpigia hakupokea baadae akazima simu. Tukampigia mkewe ampe simu,amegoma kupokea.
Ushauri wangu ni kwamba wabongo wengi ni watu wa kupakazia. Kama jungu litakuja kwa njia ya simu, hebu tumia conference call kumaliza mzizi wa fitna