Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

(Kwa mshtuko)AhWe! Hebu subiri kwanza. Hili eneo lote la Tanzania bado hatujaweza kuliendeleza limekuwa ni mapori tuu halafu ww unataka tena tuliongeze kwa gharama ya Mgogoro? Ok. Kakojoe sasa halafu ukirudi tuendelee na majadiliano ila hoja yako hii itatupeleka pabaya.
 
Kuna baadhi ya viongozi wa serikali ya msumbiji wanauza info kwa hao washenzi, kuanzia maafisa wa ngazi za juu hadi watu wanene katika maamuzi ya nchi ,
Hali hiyo ilisababisha hata Wagner kujitoa maana waliona unafki mtupu hapo kwa Wamakonde,
Lakini pia mara nyingi hata mateka wao walipokuwa wanahojiwa yani ni kituko kabisa ,
Hawakua na hoja za maana kabisa kabisa za kueleweka hii ilimaanisha kuwa hata wao wenyewe hawakujua kwa usahihi wanataka nini,..mfano walichinja mpaka watoto wachanga swali ili wafanikiwe nini?
 
Duh! Ingefaa nchi ya Msumbiji iwekwe chini ya.........ili iwe ni "Protectorate"
 
Daaah ila Africa.
Why hatuthamini uhai.
Yaani mtu yuko radhi achinje hovyo tu kwa ahadi ya pesa/maneno tu/pepo.

Ila shida hapa nadhani ni kutokua na mifumo imara ya elimu na kujitambua mpaka pale wakoloni walipokuja Africa hasa hizi nchi za chini ya jangwa la sahara.

Hivi vikundi vya kigaidi ni matokeo ya kukosa elimu na kujitambua kwa hao waasi wengi. Imagine mtu ana elimu ya dini pekee huyu kweli utaweza kumuelewesha nini tofauti na dini yake na akakuelewa??

Mtu hana elimu yoyote, hata kusoma hajui, huyu pandikiza kitu yoyote itaota na kuchanua tu.

Sasa hili gape ndo linatumiwa na wanasiasa hizi nchi za ulimwengu wa tatu, na kamwe huwezi ona elimu hii bongo ikawa kama ulaya. Maana ujinga wa wananchi ni mtaji wa wanasiasa.
 
Si polisi, si jeshi la Msumbiji (FDS) wote wako hoi.

Mabwana hawa waliwavua nguo, kila mtu akaona uchi wao. Namna walivyo duni kwenye vifaa na mafunzo, na namna walivyo 'corrupt'.
Majeshi mengi ya afrika ni kulinda maslahi ya vyama tawala na watawala tu.

Hao magaidi wanaua wananchi miaka nenda miaka rudi, wakigusa ikulu zao ndio utaona kazi halisi.

Jambo lingine linalotia shaka ni kwa nini wewe mwandishi na waandishi wenzako mnatoa hizi habari za kutisha kila inapokaribia Uchaguzi?
 
Hizi Destabilisation zinafanywa na watawala kwa maslahi wanayojua wao.
 
Hawa watu walisumbua sana Mkiru na kwa kweli mfumo mzuri wa usalama wa nchi(Jeshi na Polisi,UST,MI) ulisaidia kuikoa nchi na mikono ya magaidi
Una uhakika walikuwa Mkiru?
Hiyo mkiru ina ukubwa kiasi gani, idadi kubwa ya magaidi hao waliwezaje kupenya na kuchomoka kutoka Rufiji hadi Msumbiji bila kuacha Traces wala kukamatwa?

Ukiacha mhemko utanielewa maswali yangu.
 
Connect Dots

Ugunduzi wa Mafuta Cabo delgado, mwekezaji Total Energies, Walinzi wa Amani kutoka Rwanda, Wafadhili wa Combe la Africa Total Energies, Ujenzi wa Bomba la Mafuta Tanga to Uganda- Total Energies.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ