Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko sawa kabisa wako magaidi wa kisiasa mfano aliyekuwa anaitwa Carlos the Jackal.Bahati mbaya sana nchi za magharibi ugaidi unaunasibisha na uislam.Nchi hata ya Marekani au Wingereza na wengine wanafanya ugaidi.Nitoe mfano CIA wanapofanikisha mipango ya raisi wa nchi flani auwawe au apinduliwe ule ni ugaidi.Kama hiyo ndiyo maana yake, basi hakuna mafundisho hayo au hata moja la namna hiyo Katika Uislam.
Najisikia fahari sana kwa mara ya kwanza kupata comment kwa mtu mmoja almaarufu sana anaitwa FaizaFoxy.Kama hiyo ndiyo maana yake, basi hakuna mafundisho hayo au hata moja la namna hiyo Katika Uislam.