Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Hakuna cha ugaidi wala nini nchi hii sema alikuwa na chuki tu kama makafiri wengine wote dhidi ya Waislamu na ndiyo walioenda kuuliwa na wale wengine wachache waliohoji juu ya mauaji hao wakapotezwa.
Tatizo la nchi la nchi yetu ni ubaguzi wa kidini tu hakuna cha ugaidi wala nini,kuna msemo unasema ukitaka kumuua mbwa mpe

Mkuu siraha kubwa ya ugaidi ni media...

Magaidi ukiwapa uwanja wa habari zao kutoka, hutowamaliza ng'o...hasa hao waliokua hawataki kujulikana(MKIRU)...

Lengo lao ni kutia hofu kwenye jamii...

Stori ya Azory Gwanda naamini tukichimba na kuuangalia ugaidi kwa mapana yake tutaujua ukweli halisi.
story zipi hizo za Azory?
 
Hakuna cha ugaidi wala nini nchi hii sema alikuwa na chuki tu kama makafiri wengine wote dhidi ya Waislamu na ndiyo walioenda kuuliwa na wale wengine wachache waliohoji juu ya mauaji hao wakapotezwa.
Tatizo la nchi la nchi yetu ni ubaguzi wa kidini tu hakuna cha ugaidi wala nini,kuna msemo unasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.
misikiti ilikua inaficha magaidi halafu unasema chuki za kidini
misikitiki ilikua inaficha magaidi
 
Nipe stori na ni makundi yemeanza juzi tu hapa baada ya shambulio ya Marekani 😀 😀 😀

Kundi kubwa la kigaidi ni lile la mauaji ya kimbali kutoka vatican , mauji ya watoto huku Gaza miaka na miaka ...

Hayo makundi lin yamepigana na Israel ?
makundi ya kigaidi mengi yameanza kabla hata ya shambulio la marekani na matekani amekua suoer poeer baada ya kuanguka kwa soviet 1991 wakati huo makundi ya kigaidi mengi yalikua tayar yameanzishwa
 
makundi ya kigaidi mengi yameanza kabla hata ya shambulio la marekani na matekani amekua suoer poeer baada ya kuanguka kwa soviet 1991 wakati huo makundi ya kigaidi mengi yalikua tayar yameanzishwa
Nitajie hilo kundi wakati ISIS imeua waislamu 10,000 kule syria
 
Dunia ina matrix sana , vikundi hivyo huwezi kuvikuta saudia , Qatar ,oman...Huyu Raisi wa Iran aliyekufa ndio aliwamaliza hao mamluki wa kutumia propaganda za kidni baadae aliwanyonga ndio wakamuita ''The butcher"


Watu hawa wanapewa pesa kukamilisha malengo ya wazungu , jiulize silaha wanatoa wapi ? Mzalishaji mkubwa wa silaha ni USA...Mtandao huo sawa na madawa ya kulevya kama ingekuwa uislamu unahusika nina hakika watu wengi wangekimbia hiyo dini ..Ni dini inaypokea watu wengi baada ya watu kuelewa kila mwk , ndio dini inakuwa kwa kasi.

Wale waliokamatwa pale Urusi juzi tu walisem islamic state ndio wanahusika , Putin akasema atafuatilia ili mwisho wa siku ni uongo , watu wanakuwa recruited na kulipwa kutokana na kutka utajiri na pesa ... Hakuna muislamu anaweza kuchoma na kuua watu kwa vile hukumu yake huko nchi za kiislamu ni kuuliwa tu , sasa iweje hawa wanaua ?
Mkuu hivi nikuulize kwa mujibu wa uislamu ni haki kuwalazimisha wasio waislamu kutokula hadharani wakati wa ramadhani kama wanavyofanya zanzibar?
 
Hakuna cha ugaidi wala nini nchi hii sema alikuwa na chuki tu kama makafiri wengine wote dhidi ya Waislamu na ndiyo walioenda kuuliwa na wale wengine wachache waliohoji juu ya mauaji hao wakapotezwa.
Tatizo la nchi la nchi yetu ni ubaguzi wa kidini tu hakuna cha ugaidi wala nini,kuna msemo unasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.
Binti unaropoka ovyo kama upo period vile
 
Inasemekana Azory alikamatwa na watu wasiojulikana.

Wasiojilikana kila mmoja wetu unafahamu ni kina nani.

Akapotezwa sasa wanakuja waandishi na kuhadithia habari za mkwiru kana kwamba wamezifanyia uchunguzi ambazo azory hakipata fursa hiyo na kupotezwa.

Ndio maana nimeulizea mada hii yenye lengo la kuunasibisha uislam na ugaidi.

Je, HIVI MAGAIDI WENYEWE NDIO WANAOJIFUNGAMANISHA NA UISLAM au WAANDISHI NDIO WANAOFUNGAMANISHA UGAIDI NA UISLAM?
Magaidi ndio wanaojinasibisha na uislamu kwasababu hata hao magaidi walipovamia kitaya kwa video waliyokarekodi walidai wataenda mpaka dodoma kumpiga kafiri magufuli na maneno kama takbir yalikuwa mengi mno
 
Mkuu hivi nikuulize kwa mujibu wa uislamu ni haki kuwalazimisha wasio waislamu kutokula hadharani wakati wa ramadhani kama wanavyofanya zanzibar?
Uislamu hauruhusu kulazimisha mtu kweny dini katika jambo lolote , ila uislamu unasisitiza kuwaheshimu watawala ...Nafikiria utakuwa umenielewa kama sheria fulani imewekwa basi ifuatwe
 
Uislamu hauruhusu kulazimisha mtu kweny dini katika jambo lolote , ila uislamu unasisitiza kuwaheshimu watawala ...Nafikiria utakuwa umenielewa kama sheria fulani imewekwa basi ifuatwe
Kwahiyo kati ya watawala na Quran kipi chakufuatwa?
 
Kwahiyo kati ya watawala na Quran kipi chakufuatwa?
Umenielewa , kama utawala huo unafuata Qur an basi fuateni ndio katiba sio nchi zote zinatumia Qur an na demokrasia ...Ukienda nchi ya kiislamu fuata sheria zao kama wanatumia Qur an .


Haya ni maneno ya mtume katika kuheshimu watawala .
  • "Msikilizini na mtii watawala wenu, hata kama wao ni watumwa Wethiopia." (Sahih Muslim)
  • "Yeyote atakayemtii mtawala kwa dhati ya moyo wake na kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, basi atakuwa amepata malipo." (Sahih Bukhari)
  • "Hakika, Mwenyezi Mungu amemlaani yeyote atakayempinga mtawala wake." (Sunan Abu Dawud)

Na kama utawala ni wa Qur an hairuhusiwi kuwadhuru wasiokuwa waislamu kama hawajawashambulia , yaani uwafanyie ukatili kwa vile sio waislamu ni haramun unless watakuwa wamefanya makosa.

Mtume alilulizwa je kweny utawala wa sharia za kiislamu , watu wasiokuwa waislamu wataishije ndio akasema ''Hairuhusiwi kumdhuru asiyekuwa muislamu kutoka na misingi yake.

Mtume alishasema kama katika utawala wa kiislamu hairuhusiwi kumdhuru asiye maana utakuwa ni adui wa mtume na Mwenyezi Mungu .

Mtume Muhammad (s.a.w.) alisema: "Yeyote atakayemuua mtu asiye na hatia, kana kwamba amemuua watu wote duniani." (Sahih Bukhari)

Qur'ani pia inasema: "Msiwaua wale ambao hawapigani nanyi kwa ajili ya dini na hawakuwafukuza kutoka kwenye nyumba zenu. Hakika, kuwaua ni haramu." (Quran 2:191).
 
Hakuna cha ugaidi wala nini nchi hii sema alikuwa na chuki tu kama makafiri wengine wote dhidi ya Waislamu na ndiyo walioenda kuuliwa na wale wengine wachache waliohoji juu ya mauaji hao wakapotezwa.
Tatizo la nchi la nchi yetu ni ubaguzi wa kidini tu hakuna cha ugaidi wala nini,kuna msemo unasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.
Ule ni ugaidi 💯.
Magufulia akaamua kuushughulikia mapema kabla haujaleta madhara zaidi
 
Acha kuwa mpumbavu tangu lini serikali inashambulia watu ? serikali ilikuwa na uwezo wa kumfikisha mahakamai wakati Rogo kashambuliwa .


View: https://youtu.be/go3z4EPz_Bc?si=6ybIdWvlRRSZqaVT

Minyoo ya Nguruwe inakuharibu kichwani hata kufikiria hujui.

Bila ya mchongo wa vyeti fake hauna jipya , kumbe hata hujui unaongela , basi kashambuliwa kama Tundu Lissu .

Wewe ndio mpumbavu kabisa. Umeshindwa kujibu hoja unamtukana mtoa hoja
 

Daawa Salafiyya inahitajika kuokoa idiology potofu za hao wanaojiita Ansar ..​

Ni ideology za kijinga kwa ajili ya watu maskini zinazosimamiwa na matajiri wakubwa waabudu shetani.
Ni vigumu sana kuutoa huu ujinga ukushaingia kwenye vichwa vya watu,ndio maana hata humu jf wapo hawa watu wanaojaribu kuchochea chuki za kidini lakini ukweli wanalipwa kwa kazi hiyo
 
Cabo Delgado, ardhi halali ya Tanganyika iliyoporwa na maswahiba wa vita vya kwanza vya Dunia mikononi mwa Mjerumani. Nashauri Serikali ya Tanzania ianze mchakato wa Kisheria wa kuirudisha kipande kule Cha ardhi ambacho Mozambique wameshindwa kukiendeleza na kukitawala kwa usawa. Pia tuanze mchakato wa Kisheria kuirudisha Ruanda na Urundi ndani ya Himaya ya Tanganyika. Ni hayo tu, naenda kukojoa
Hustahili kuwa hai iwapo una mawazo kama haya.
Ukishazichukua so what?!!
 
Tutafanyaje wakati hayo matendo kwa wengine ni njia ya kuiona pepo?

Bila hivyo wanaamini kwao hakuna kuiona pepo,na ktk situation kama hii ni rahisi sana watu kupaza sauti kwamba wanaonewa na kuchafuliwa kwa kufanya ibada zao tukichukulia nchi yetu tunaamini hakuna upendeleo wa kidini.
Nikuambie tu bro kama huelewi haya mambo ni mazito sana.Hiki kikundi usikiunganishe na Uislam kabisa madhumuni yao ni mengine kabisa.Swali la kujiuliza wanapata wapo silaha nzito.
Usije ukashangaa vikundi vya kigaidi vingine vinafadhiliwa na nchi za magharibi hili unaweza usiamini kabisa watu wako kwenye biashara za silaha bila watu kupigana na kuuana hasa sisi ngozi nyeusi faida watapata wapi?.

Jiulize swali hili kwanini COVID-19 imetikisa dunia lakini chanjo imepatikana kwa muda mfupi mno.Jibu ni kwamba walivyoleta huu ugonjwa walitegemea waafrica tutakufa sana ikawa kinyume wao ndio wakawa wanapukutika ikabidi wachangamke.Jiulize kwanini chanzo ya malaria haigunduliwa haraka? jibu ni kwamba sababu malaria inagusa nchi za Africa hivyo hawatapata faida na pia vyandarua vyao think twice bro mtu mweupe ni shetani mkubwa sana.

Usije shangaa kikundi kimojawapo cha ugaidi cha kiislam ipo nchi moja ya weupe inafadhili kwa ajili tu ya kuupaka uislam matope maana mtu mweupe haupendi uislam kibaya zaidi na sisi ngozi nyeusi na waarabu tuna akili fupi tunaingizwa mkenge kukubali kuuana wenyewe kwa kisingizio cha kwenda peponi.Hapo Cabo Del gado kumegunduliwa akiba kubwa ya gas na kampuni ya Anadarko wameshindwa kuendeleza kampuni ya Total Energies ya Ufaransa wamechukua mkataba usije shangaa magaidi wanafadhiliwa na nchi ya Ufaransa.Gaida akiuwawa na majeshi ya Msumbiji wakimpekua wanakuta mifukoni wana hela nyingi mno za kigeni faranga hata dola unategemea nini?.Hawa magaidi wanatumia hadi drones jiulize kakikundi kadogo ka kihuni kanapata wapi kifua cha kusumbua nchi moja huko bado ikisaidiwa na wengine.Vita ya Uchumi popote duniani ni ngumu sana alisemaga Magufuli RIP

Mzungu anaingiwa hofu sana akiona waafrica tunaongezeka kwa idadi na kumbuka sisi ndio tuliojenga nchi za ulaya.Jiulize nchi ya Ufaransa haina mgodi hata mmoja wa Uranium lakini anachukua Chad huku chad wananchi wakiwa gizani huku mfaransa akiwa na umeme wa uhakika wa nguvu za Nyuklia.

Jiulize Wingereza na ubelgiji hawana mgodi hata mmoja wa dhahabu lakini kwenye safe zao wana akiba ya dhababu kuliko Africa.
Tusikubali kuchonganishwa.
 
Ugaidi ni kitendo cha mtu au kikundi cha watu kutumia nguvu,vitisho,kudhuru,kulazomisha hata kuua ili kutimiziwa matakwao yao ya kisiasa au kiuchumi na hata kidini
Kama hiyo ndiyo maana yake, basi hakuna mafundisho hayo au hata moja la namna hiyo Katika Uislam.
 
Back
Top Bottom