Dunia ina matrix sana , vikundi hivyo huwezi kuvikuta saudia , Qatar ,oman...Huyu Raisi wa Iran aliyekufa ndio aliwamaliza hao mamluki wa kutumia propaganda za kidni baadae aliwanyonga ndio wakamuita ''The butcher"
Watu hawa wanapewa pesa kukamilisha malengo ya wazungu , jiulize silaha wanatoa wapi ? Mzalishaji mkubwa wa silaha ni USA...Mtandao huo sawa na madawa ya kulevya kama ingekuwa uislamu unahusika nina hakika watu wengi wangekimbia hiyo dini ..Ni dini inaypokea watu wengi baada ya watu kuelewa kila mwk , ndio dini inakuwa kwa kasi.
Wale waliokamatwa pale Urusi juzi tu walisem islamic state ndio wanahusika , Putin akasema atafuatilia ili mwisho wa siku ni uongo , watu wanakuwa recruited na kulipwa kutokana na kutka utajiri na pesa ... Hakuna muislamu anaweza kuchoma na kuua watu kwa vile hukumu yake huko nchi za kiislamu ni kuuliwa tu , sasa iweje hawa wanaua ?