Njia ya kuingiza bidhaa toka China kuagiza bila kwenda

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,828
Nataka Sana Kuagiza Vifaa Fulani Vya Usafi(WHOLESALE PRICE) Toka Chaina
Kuna Kampun Ilijitangaza Hapa Kuwa Inasaidia Wafanya Biashara Wadogo Kuagiza Bidhaa Kwa Bei Ya Kiwandani, Nimeongea Nao Wanasema Wanasupply Vifaa Vya Umeme Tu..Na Si Vinginevyo!
Sasa Wakuu Kama Kuna Kampuni Itakayokamilisha Lengo Langu
Naomba Msaada
Pia Kama Una Ushauri Wa Njia Mbadala Unaweza Kunisaidia!!
Ahsante Sana!!
 

Mkuu Wewe uko Dar, jaribu kwenda pale jengo la ushirika ghorofa ya 10 kuna hawa jamaa wanaojiita China WorldBuzz walijitangaza humu kuwa huwa wanasaidia wafanyabiashara Wa Tz kwa kuwaunganisha na makampuni ya China.

Wewe kwa vile uko huko Dar utatuletea mrejesho Wa jinsi hiyo ofisi ilivyojipanga. Pia unaweza kupiga hizi namba ukaongea na jamaa hao hapo Dar 0655908497 au 0653978496. Mkuu ukifanikiwa usisahau kutupa mrejesho!
 
Mkuu Nilifika Hapo Wamesema Wao Wanaimport Electric Materials ONLY!!
Wakanipatia T-Shirt Na Key Holder
Kama Kuna Kampuni Nyingine Nisaidieni Tafadhari!!
 
wajasiriamali wa bongo hatupendi kusaidiana sijui why
 
wajasiriamali wa bongo hatupendi kusaidiana sijui why

Ni kote tu. Nigeria hawataki hata kuulizana biashara wanazofanya. Lakini pia utasaidiwa vipi kama mtu anayesoma post hajui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…