Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,059
Jiko la mkaa uamke saa 10 usiku, nikiolewa nitajua nini cha kufanyahela wanajitahidi sokoni hatutaki kwenda tunataka home delivery inakuwa ghali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiko la mkaa uamke saa 10 usiku, nikiolewa nitajua nini cha kufanyahela wanajitahidi sokoni hatutaki kwenda tunataka home delivery inakuwa ghali
Wengine walevihao wagonjwa
nunua la gesi dogo elf 70Jiko la mkaa uamke saa 10 usiku, nikiolewa nitajua nini cha kufanya
Sijaolewa mie, jiko ninalo la gesi plate 2 ila huko ndoani ndo sijui kama litakuwepo, sina mpango wa kwenda nalo nikiolewanunua la gesi dogo elf 70
udai mahari ya jiko kama mimiSijaolewa mie, jiko ninalo la gesi plate 2 ila huko ndoani ndo sijui kama litakuwepo, sina mpango wa kwenda nalo nikiolewa
Teh teh nitajitahidi Aisee ,maana kuzoea watu magengeni ni hatari kubwaudai mahari ya jiko kama mimi
Kwani kuna kipi cha gharama kubwa ni namna ntu anavyoweza kuangalia tu.Ila ukumbuke pia hayo uloyataja yanahitaji pesa
Watz tulo wengi hatumudu hzo mambo
Mmh wanaishije?Miss usibishe. Tumetofautiana hobby. Kuna watu sio tu kula vizuri, hata kula hawapendi!
Kwahiyo credit wewe unatolea wapi?Mimi ni tasteless, sina chakula kizuri wala kibaya.
Labda kiwe kimepoa ila hata kiporo mi napeleka tu.
So mapishi kwangu hata credit huipati.
We acha kufananisha kitandani na mambo ya ajabu pale unasahau hadi jina lako mkuu[emoji3] sembuse chakula kibaya!Kweli yaani upikiwe chakula sio kitamu unakula huku umekunja sura hyo hamu ya kumla vizuri unaitoa wapi
Kwahiyo credit wewe unatolea wapi?
Unasahau jina lako? Huo utamu utakuwa unausikia utosiniWe acha kufananisha kitandani na mambo ya ajabu pale unasahau hadi jina lako mkuu[emoji3] sembuse chakula kibaya!
unilipeNgoja najitahid kushea hii
Shida inakuja kama mme anapenda kula haachi hela nyumbani. Anaacha buku 2. Namaama maza house izo mbwembwe zitawezekanaaisee sijui kwa kweli
ambae haachi hela unachana nae .ila wapo wanaoacha hela wanakutana na wali mchuzi tuShida inakuja kama mme anapenda kula haachi hela nyumbani. Anaacha buku 2. Namaama maza house izo mbwembwe zitawezekana