Njia ya kupata moyo wa mwanaume ni kupitia tumbo lake

ambae haachi hela unachana nae .ila wapo wanaoacha hela wanakutana na wali mchuzi tu
Alafu pia mwengine mfanyakazi alafu huku anasoma evening anarudi saa tatu. Huyu asubuhi anamka saa 11 alfajir. Wanachooka pia

Hayayote yanatokea kwenye jamii yetu. Kwahyo huenda kuna factors nyingi.
Lakini kama anamda na pesa basi hayo ni makosa
 
tageti yangu ya kwanza kuoa ni mwanamke anaejua kupika nitamuoa hata kama yupo ovyo ovyo tu
 

Miss Natafuta mi huwa si mchangiaji sana humu. Ila kwenye hii mada, nimeshindwa kuvumilia, yaani umenipa somo la nguvu. Kwa kweli wanawake kutoenda sokoni ni janga la kitaifa. Utashangaa vigenge kila kukicha vinaibuka kama uyoga, kumbe chanzo ni uvivu wa kina mamsap wetu?

Kwa kuanzia natafuta jiko la ukweli, baada ya hapo ............... nitaleta mrejesho
 
[emoji106] [emoji106] [emoji120] [emoji120]
 
sasa Miss Natafuta si inabidi ujifunze mapishi ili uwezepata mwanaume sasa.... au wewe hutaki fanyia kazi maneno haya?

 
Nataman nipate wife aliebobea
Kwenye mapish
 
Aisee furaha ya nyumba ni mwanamke asikwambie mtu...
Mwanamke ni kila kitu nyumbani...

Mzuka wangu nikute menyu ya maana hom.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…