Njia ya kurefusha uume

Tatizo lako ni kwamba; Hujawahi kupenda wala hujui mapenzi. Una kiu ya kuumiza mwenzio tu wala sio mapenzi. Hata ungepata wa punda, bado ungetamani mti.
Mbona watu wanamtosheleza kwa kuzama chumvini?? Wajua kuwa unahitaji kina cha 2" tu kufikia G spot? Tulia, ukikua utayajua hayo mambo ya wakubwa.
Sex ni kwa ajili ya kuongezeka sio kuumizana
 
Mkuu unahaha ili nn kikutokee? acha uumbaji wa MUNGU uchukue nafasi hayo mengine hayatakusaidia ni ujasiliamali wa watu
 
Mimi nikusaidie dawa ..kula vizuri pumzisha mwili , fanya zoezi ...relax na ondoa stress then fanya shughuli za kibaharia then lete mrejesho utaibwa sana mkuu ....afu acha kuangalia video za ngono maana hao ndio wanakufanya ujione tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…