Habarini ndugu zangu! Mimi ni mwajiliwa kampuni x,kipato changu kwa mwezi ni 1.5m,nina mke na mtoto!
Katika maisha kuna plan tofauti
A-Nyumba,gari,vitegauchumi;
B-Vitega uchumi,nyumba,gari(au gari,nyumba)
Niliamua kufuata plan B,nikawekeza kwenye kilimo na ufugaji ili kuzalisha milioni 30 za kuwekeza kwenye miradi mikubwa zaidi ambayo haihusiani na kilimo,baada ya kuanza kupata faida ndo ningejenga na kununua usafiri;Bahati mbaya hali ya hewa imekuwa mbaya nimepata hasara kubwa isipokuwa kwenye ufugaji na hivyo mradi mkubwa hautowezekana kuanza mwaka huu mpaka nijipange upya.
Kuna vipesa kidogo ntavipata april hii,nafikiria bado whether ninunue kiwanja na kuanza kujenga au nivitupie tena kwenye kilimo? Ufugaji mdogo unaendelea na lengo ni kutoa kuku mia wa nyama kila wiki,na wamayai wanakaribia kuanza kutaga! Msaada wenu kwa wenye uzoefu zaidi na ujasiriamali na maisha
Katika maisha kuna plan tofauti
A-Nyumba,gari,vitegauchumi;
B-Vitega uchumi,nyumba,gari(au gari,nyumba)
Niliamua kufuata plan B,nikawekeza kwenye kilimo na ufugaji ili kuzalisha milioni 30 za kuwekeza kwenye miradi mikubwa zaidi ambayo haihusiani na kilimo,baada ya kuanza kupata faida ndo ningejenga na kununua usafiri;Bahati mbaya hali ya hewa imekuwa mbaya nimepata hasara kubwa isipokuwa kwenye ufugaji na hivyo mradi mkubwa hautowezekana kuanza mwaka huu mpaka nijipange upya.
Kuna vipesa kidogo ntavipata april hii,nafikiria bado whether ninunue kiwanja na kuanza kujenga au nivitupie tena kwenye kilimo? Ufugaji mdogo unaendelea na lengo ni kutoa kuku mia wa nyama kila wiki,na wamayai wanakaribia kuanza kutaga! Msaada wenu kwa wenye uzoefu zaidi na ujasiriamali na maisha