wakuu sana.
hizi taarifa za treni zinazotumia njia ya TAZARA kuacha njia zimekuwa nyingi mno. nadhani kila mwezi kuna taarifa moja au mbili za treni kuacha njia ama upande wa Tanzania au ule wa Zambia.
taarifa za hivi punde zinasema kuna treni imeacha njia Mlimba.
juzijuzi tu hapa zilitoka taarifa upande wa Zambia kuwa kuna treni imeacha njia eneo fulani hivi jina silikumbuki.
je, matukio haya ni ya kawaida tu au kuna hujuma inafanywa na wamiliki wa malori maana wana maslahi na mizigo inayotoka Zambia na Kongo kuja na kutoka Dar es Salaam?
je, serikali hii ni legelege? maana kipindi cha magufuli huu upuuzi haukuwepo.
hizi taarifa za treni zinazotumia njia ya TAZARA kuacha njia zimekuwa nyingi mno. nadhani kila mwezi kuna taarifa moja au mbili za treni kuacha njia ama upande wa Tanzania au ule wa Zambia.
taarifa za hivi punde zinasema kuna treni imeacha njia Mlimba.
juzijuzi tu hapa zilitoka taarifa upande wa Zambia kuwa kuna treni imeacha njia eneo fulani hivi jina silikumbuki.
je, matukio haya ni ya kawaida tu au kuna hujuma inafanywa na wamiliki wa malori maana wana maslahi na mizigo inayotoka Zambia na Kongo kuja na kutoka Dar es Salaam?
je, serikali hii ni legelege? maana kipindi cha magufuli huu upuuzi haukuwepo.