Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Lete takwimu hapa wakati na baada ya Kayafa ni ajali ngapi za treni zimetokea.too much after magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete takwimu hapa wakati na baada ya Kayafa ni ajali ngapi za treni zimetokea.too much after magufuli
Lisu akiwa rais ataweka sawa mamboWaafrika sijui tumelogwa na nani,badala ya kuimarisha kile tulichonacho kwa sasa kabla ya kununua au kujenga kitu kipya eti tunajenga nyumba mpya huku ile tunayoishi ikiwa hoi bin taabani. Ndio haya ya Tazara sasa vs SGR.
nimeuliza swali.
Huo ushahidi usio tia shaka upo tayari/utakubali kuletwa au ushahidi utaamua kukataaa?
Na je hao wenye ushahidi wako tayari ushahidi wao ujulikane?
Nani anahujumu? Magufuli ndio alikuwa anaongoza shirika? Hiyo reli sehemu kubwa management ni ya Zambia,waulize wahusika.wakuu sana.
hizi taarifa za treni zinazotumia njia ya TAZARA kuacha njia zimekuwa nyingi mno. nadhani kila mwezi kuna taarifa moja au mbili za treni kuacha njia ama upande wa Tanzania au ule wa Zambia.
taarifa za hivi punde zinasema kuna treni imeacha njia Mlimba.
juzijuzi tu hapa zilitoka taarifa upande wa Zambia kuwa kuna treni imeacha njia eneo fulani hivi jina silikumbuki.
je, matukio haya ni ya kawaida tu au kuna hujuma inafanywa na wamiliki wa malori maana wana maslahi na mizigo inayotoka Zambia na Kongo kuja na kutoka Dar es Salaam?
je, serikali hii ni legelege? maana kipindi cha magufuli huu upuuzi haukuwepo.View attachment 1953481
Tumezoea kutafuta Wachawi kuliko kujikita kutafuta Solutions.Ukiambiwa leta ushahidi usiotia shaka, ili wahujumu wachukuliwe hatua unao?
Hivi akili zinakuwa wapi mkuu?.Una uhakika kuwa imehujumiwa,na kama ni kweli leta ushahidi hapa kuthibitisha madai yako. Nadhani wewe hufahamu status ya reli ya Tazara ilivyo takribani miaka ishirini sasa.
Mbaya zaidi sheria ya ujenzi kando ya reli ni mita 30 lakini hawa Waarabu maswahiba zake Riziwani Kikwete wamejenga mita 3 tu kutoka kwenye reli.Unaona hali ya Tazara ilivyo mbaya mpaka imefikia hatua ya kukodisha assets zake kwa Lake Oil kinyume na sheria?View attachment 1953508View attachment 1953510View attachment 1953511
Bora ife tuKama hiyo reli ni chakavu na Wafanyakazi wapo hoi bin taabani mishahara wanapata tarehe 40 unategemea kitatokea nini? Na hali imefanya mpaka Tazara kuanza kuuza na kukodisha fixed assets zake, hata Wastaafu wake hawalipwi mafao.
Labda Hichilema ataokoa jahazi
Mwacheni huyo marehemu wenu apumzike yeye sio Mungu na kwa kuwa ameshakufa hawezi kurudi tena.wakuu sana.
hizi taarifa za treni zinazotumia njia ya TAZARA kuacha njia zimekuwa nyingi mno. nadhani kila mwezi kuna taarifa moja au mbili za treni kuacha njia ama upande wa Tanzania au ule wa Zambia.
taarifa za hivi punde zinasema kuna treni imeacha njia Mlimba.
juzijuzi tu hapa zilitoka taarifa upande wa Zambia kuwa kuna treni imeacha njia eneo fulani hivi jina silikumbuki.
je, matukio haya ni ya kawaida tu au kuna hujuma inafanywa na wamiliki wa malori maana wana maslahi na mizigo inayotoka Zambia na Kongo kuja na kutoka Dar es Salaam?
je, serikali hii ni legelege? maana kipindi cha magufuli huu upuuzi haukuwepo.View attachment 1953481
Halafu unapata faida gani?Bora ife tu
Kwani wewe sahivi unapata faida gani?Halafu unapata faida gani?
Unahitaji ushahidi gani wakati hizi treni tulikuwa hatusikii kuanguka/kuacha njia hovyohovyo namna hii?Weka ushahidi
Porojo kabisawakati hizi treni tulikuwa hatusikii kuanguka/kuacha njia