Njia ya uzazi Iko centimeter 4 tangu saa Tano usiku haijaongezeka

Njia ya uzazi Iko centimeter 4 tangu saa Tano usiku haijaongezeka

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habari wakuu mke wangu baada ya kupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku, baada ya kufika akapimwa njia ikiwa centimeter 3 uchungu ukiwa unamuijia na kupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4.

Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja na kupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter 8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza ni suluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja na kupotea!
 
Habar wakuu mke wangu baada yakupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku..baada yakufika akapimwa njia ikiwa centimeter3 uchungu ukiwa unamuijia nakupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4 ...Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja nakupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza nisuluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja nakupotea
Ushauri wa daktari unaheshimika, ila inapaswa kuwa imefanyika kipimo cha kujua hali ya mtoto tumboni na mapigo ya moyo yanaendaje (kama bado hakijafanyika), pia hali ya mama maana uchungu una maximum time ambayo ikizidi mama anaweza kuchoka na baadae njia ikifunguka akashindwa kusukuma mtoto.

Haya yote yanategemea na jinsi wataalamu wanavyo monitor hali yake...si rahisi kutoa majibu ya direct kwa sisi ambao hatumuoni na hatuna takwimu za vipimo.

Ila tu KUA MAKINI ikionekana masaa yanazidi standard ni vyema kufikiria juu ya upasuaji ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto.
 
Ushauri wa daktari unaheshimika, ila inapaswa kuwa imefanyika kipimo cha kujua hali ya mtoto tumboni na mapigo ya moyo yanaendaje (kama bado hakijafanyika), pia hali ya mama maana uchungu una maximum time ambayo ikizidi mama anaweza kuchoka na baadae njia ikifunguka akashindwa kusukuma mtoto.


Haya yote yanategemea na jinsi wataalamu wanavyo monitor hali yake...si rahisi kutoa majibu ya direct kwa sisi ambao hatumuoni na hatuna takwimu za vipimo.

Ila tu KUA MAKINI ikionekana masaa yanazidi standard ni vyema kufikiria juu ya upasuaji ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto.
Kipimo Cha kujua Hali ya mtoto tumboni kikoje iko
 
Ushauri wa daktari unaheshimika, ila inapaswa kuwa imefanyika kipimo cha kujua hali ya mtoto tumboni na mapigo ya moyo yanaendaje (kama bado hakijafanyika), pia hali ya mama maana uchungu una maximum time ambayo ikizidi mama anaweza kuchoka na baadae njia ikifunguka akashindwa kusukuma mtoto.


Haya yote yanategemea na jinsi wataalamu wanavyo monitor hali yake...si rahisi kutoa majibu ya direct kwa sisi ambao hatumuoni na hatuna takwimu za vipimo.

Ila tu KUA MAKINI ikionekana masaa yanazidi standard ni vyema kufikiria juu ya upasuaji ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto.
Maximum time ya uchungu ni mda gani
 
Habar wakuu mke wangu baada yakupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku..baada yakufika akapimwa njia ikiwa centimeter3 uchungu ukiwa unamuijia nakupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4 ...Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja nakupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza nisuluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja nakupotea
Mfanyieni uzazi wa upasuaji haraka sana kabla hamjampoteza mtoto au wote
 
Habari wakuu mke wangu baada ya kupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku, baada ya kufika akapimwa njia ikiwa centimeter 3 uchungu ukiwa unamuijia na kupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4.

Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja na kupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter 8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza ni suluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja na kupotea!
Kwa nini usitulie na kuwaachia wataalamu wafanye kazi yao?Tangu jana umetoa macho kuiangalia njia inavyofunguka?Tulia.
 
Back
Top Bottom