malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habari wakuu mke wangu baada ya kupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku, baada ya kufika akapimwa njia ikiwa centimeter 3 uchungu ukiwa unamuijia na kupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4.
Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja na kupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter 8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza ni suluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja na kupotea!
Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja na kupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter 8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza ni suluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja na kupotea!