Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hongereni.. Mungu awasimamie na kuwasaidia ktk maleziKwa uwezo wa mungu hatimae amefanikiwa kujifungua baada ya kuchomwa dawa yakushusha presha iv hydralazine 20mg stat...presha ikashuka akaweza kupush mtoto..hapo kabla ya sindano presha ilikua 200/188 ndani ya dk10