malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Ushauri wa daktari unaheshimika, ila inapaswa kuwa imefanyika kipimo cha kujua hali ya mtoto tumboni na mapigo ya moyo yanaendaje (kama bado hakijafanyika), pia hali ya mama maana uchungu una maximum time ambayo ikizidi mama anaweza kuchoka na baadae njia ikifunguka akashindwa kusukuma mtoto.Habar wakuu mke wangu baada yakupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku..baada yakufika akapimwa njia ikiwa centimeter3 uchungu ukiwa unamuijia nakupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4 ...Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja nakupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza nisuluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja nakupotea
Kipimo Cha kujua Hali ya mtoto tumboni kikoje ikoUshauri wa daktari unaheshimika, ila inapaswa kuwa imefanyika kipimo cha kujua hali ya mtoto tumboni na mapigo ya moyo yanaendaje (kama bado hakijafanyika), pia hali ya mama maana uchungu una maximum time ambayo ikizidi mama anaweza kuchoka na baadae njia ikifunguka akashindwa kusukuma mtoto.
Haya yote yanategemea na jinsi wataalamu wanavyo monitor hali yake...si rahisi kutoa majibu ya direct kwa sisi ambao hatumuoni na hatuna takwimu za vipimo.
Ila tu KUA MAKINI ikionekana masaa yanazidi standard ni vyema kufikiria juu ya upasuaji ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto.
Maximum time ya uchungu ni mda ganiUshauri wa daktari unaheshimika, ila inapaswa kuwa imefanyika kipimo cha kujua hali ya mtoto tumboni na mapigo ya moyo yanaendaje (kama bado hakijafanyika), pia hali ya mama maana uchungu una maximum time ambayo ikizidi mama anaweza kuchoka na baadae njia ikifunguka akashindwa kusukuma mtoto.
Haya yote yanategemea na jinsi wataalamu wanavyo monitor hali yake...si rahisi kutoa majibu ya direct kwa sisi ambao hatumuoni na hatuna takwimu za vipimo.
Ila tu KUA MAKINI ikionekana masaa yanazidi standard ni vyema kufikiria juu ya upasuaji ili kuhakikisha usalama wa mama na mtoto.
Acha kiherehere waachie wataalamu wafanye kazi Yao mkuu, au unataka wataalamu wakuachie mkeo umuhudumie wewe mwenyewe? Cha kufanya wewe ni kumuombea mkeo ajifungue salamaKipimo Cha kujua Hali ya mtoto tumboni kikoje iko
Jamaa anataka kujifunza udaktari kupitia JF. 😄Acha kiherehere waachie wataalamu wafanye kazi Yao mkuu. Cha kufanya wewe ni kumuombea mkeo ajifungue salama
Mkuu, wewe umeshamfikisha mke wako hospitali, kaa kwa kutulia waache wataalamu wafanye kazi yao. Wao wanazalisha watu kila siku kuanzia januari mpaka disemba hayo mambo yote wanayajua!Maximum time ya uchungu ni mda gani
Mfanyieni uzazi wa upasuaji haraka sana kabla hamjampoteza mtoto au woteHabar wakuu mke wangu baada yakupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku..baada yakufika akapimwa njia ikiwa centimeter3 uchungu ukiwa unamuijia nakupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4 ...Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja nakupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza nisuluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja nakupotea
Ongea vizur na watu wanaomuhudumia mkeo naona humu unatafuta points za kwenda kuwasokota hao watu utaishia pabayaPresha ya mjamzito Iko 166/112
Kwa nini usitulie na kuwaachia wataalamu wafanye kazi yao?Tangu jana umetoa macho kuiangalia njia inavyofunguka?Tulia.Habari wakuu mke wangu baada ya kupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku, baada ya kufika akapimwa njia ikiwa centimeter 3 uchungu ukiwa unamuijia na kupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4.
Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja na kupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter 8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza ni suluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja na kupotea!
Mwenyewe Niko hapa wao wanasema tusubirie tu tuvute subra..Ongea vizur na watu wanaomuhudumia mkeo naona humu unatafuta points za kwenda kuwasokota hao watu utaishia pabaya
Hapana hospital za mission za wakatolikiAnajifungulia zahanati?
Wakati yeye mwenyewe alishindwa kutanua njia[emoji2][emoji3]Kwa nini usitulie na kuwaachia wataalamu wafanye kazi yao?Tangu jana umetoa macho kuiangalia njia inavyofunguka?Tulia.