Hongereni.. Mungu awasimamie na kuwasaidia ktk maleziKwa uwezo wa mungu hatimae amefanikiwa kujifungua baada ya kuchomwa dawa yakushusha presha iv hydralazine 20mg stat...presha ikashuka akaweza kupush mtoto..hapo kabla ya sindano presha ilikua 200/188 ndani ya dk10
Hongera sana kwa utaanza kuitwa baba.Kwa uwezo wa mungu hatimae amefanikiwa kujifungua baada ya kuchomwa dawa yakushusha presha iv hydralazine 20mg stat...presha ikashuka akaweza kupush mtoto..hapo kabla ya sindano presha ilikua 200/188 ndani ya dk10
Umewezaje kujua hiyo route of admistatrion, dosage ,time ? Au ulikuwa unawachora watu?Kwa uwezo wa mungu hatimae amefanikiwa kujifungua baada ya kuchomwa dawa yakushusha presha iv hydralazine 20mg stat...presha ikashuka akaweza kupush mtoto..hapo kabla ya sindano presha ilikua 200/188 ndani ya d
Amefatilia ππππUmewezaje kujua hiyo route of admistatrion, dosage ,time ? Au ulikuwa unawachora watu?
Daktari huyo anatuchora tuUmewezaje kujua hiyo route of admistatrion, dosage ,time ? Au ulikuwa unawachora watu?
Hapana itakua ameambiwa.Daktari huyo anatuchora tu
Nilikua nafatilia nanikaitwa kujadiliana kutupa Hali ya mjamzito na wao wakatoa mapendekezo watakayomfanyia mgonjwa wakasema kabisa hiyo dawa ndo njia mbadala ya mwisho kwa uwezo wa munguHapana itakua ameambiwa.
Si unaona alivyo mfatiliaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pia ana wenge labda ndo first born wao.
Wala sio daktari mimDaktari huyo anatuchora tu
Vizuri sana mkuu na ndo inavyotakiwa hivo..Nilikua nafatilia nanikaitwa kujadiliana kutupa Hali ya mjamzito na wao wakatoa mapendekezo watakayomfanyia mgonjwa wakasema kabisa hiyo dawa ndo njia mbadala ya mwisho kwa uwezo wa mungu
Hauna nguvu za kiume ila unazalisha mkuu maana huwa unalia sana hapa kuhusu ili swala?Habari wakuu mke wangu baada ya kupatwa na dalili za uchungu tumemfikisha hospital saa nne usiku, baada ya kufika akapimwa njia ikiwa centimeter 3 uchungu ukiwa unamuijia na kupotea baada masaa manne kupimwa njia ikawa centimeter 4.
Sasa Hadi saa hii Bado uchungu unakuja na kupotea dokta nae anasema nikusubiria Hadi njia iwe centimeter 8 walau ndo anaweza pewa drip ya uchungu...wakuu nauliza ni suluhu kama mtu njia haiongezeki na uchungu unakuja na kupotea!
Kweli hilo jina linakufaaHapa ndipo ninapomshukuru Mungu kuniumba mwanaume.