Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kutumia nguvu kuwaondoa barabarani au kuwapanga wamachinga maeneo maalum kwa njia zozote za amani ni sawa na kutumia paracetamol au aspirin kutibu Malaria au UTI. Utatuliza maumivu kwa muda tu ila Ugonjwa utakuwa pale pale.
Umachinga uliokithiri na kuwa tegemeo la vijana ni matokeo ya uchumi dhaifu wenye kuzalisha ajira dhaifu.
Dawa pekee ya hili ni kurudi kwenye sera na uongozi thabiti unaotoa fursa ya ajira imara kwenye zenye heshima kupitia sekta muhimu kwa kwa walio wengi.
Vingenevyo kuwandoa na kurudi barabarani kwa wamachinga utakauwa kama mchezo wa paka na panya.
Umachinga uliokithiri na kuwa tegemeo la vijana ni matokeo ya uchumi dhaifu wenye kuzalisha ajira dhaifu.
Dawa pekee ya hili ni kurudi kwenye sera na uongozi thabiti unaotoa fursa ya ajira imara kwenye zenye heshima kupitia sekta muhimu kwa kwa walio wengi.
Vingenevyo kuwandoa na kurudi barabarani kwa wamachinga utakauwa kama mchezo wa paka na panya.